VITUKO VYA MASTAA Hii inaweza kuwa ni kama vile utani au propaganda eeh!!!Unajua katika maisha ya binadamu kila mtu kuna vitu fulani anavipitia katika maisha yake.Katika vitu hivyo vipo vile...
Serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania,kupitia mamlaka ya mapato tanzania(TRA),kwa kushirikiana na BASATA,Bodi ya Filamu Tanzania(TFCB),chama cha hakimiliki na hakishiriki Tanzania...
Habari za jioni wana jamvi,naami ijumaa ya Leo ipo shwari.Leo nimeona tujikumbushe kidogo wacheza disco waliwahi kutamba sana enzi hizo kabla ya kuja hiki kizazi cha bongofleva na Si vibaya...
daaa jana bhana nilikuwa natizama kipindi cha TAGZ WEEKLY cha dtv sasa kulikuwa kuna tuhuma za yule mshikaji aliyekopi aidia ya ile ngoma ya platinum ya mbagala eti yakwamba jamaa anamfanyia k2...
Wasanii mbalimbali wa muziki wa kufoka maarufu kama Hip Hop leo walikutana katika kikao cha wasanii wanaofanya sanaa na muziki wa aina hiyo, kilichoandaliwa na Asar Entertaiment na Alliance...
Wadau habari za wikiend,
Kuna wakati kulikuwa na uzi nyingi zilizokuwa na maswali mengi juu ya kupotea kwa mkali John Dillinga JD, DJ mkali africa mashariki.
Wapo wengi waliokosa entertainment...
Jazz composer, pianist Dave Brubeck diesBy By PAT EATON-ROBB | Associated Press 12 minutes ago
View Gallery
Dave Brubeck sits next to a piano in Monterey, California, in this file image...
Nikiwa mdau wa habari, nasikitika kusema kwamba pamoja na sifa zote alizojizolea, Bw. Tido Mhando alikosea sana kubadili jina kutoka RTD ililozoeleka sana kwenda TBC Taifa. Matokeo yake sasa, hiyo...
Mimi ni mpenzi wa mchezo wa Chess, ningependa kufahamu ni sehemu gani hapa Dar, ambapo nitaweza kupata sehemu ambapo mchezo huu watu wanapenda kucheza au some sort of club ambapo watu wanacheza...
November 2012
Kitu kipya toka kwa Christian Bella kiendacho kwa jina 'Msaliti' ktk mfumo wa audio, endelea kusikiliza
Audio kwa hisani ya atalaku wa youtube
Hivi juzi kati nilisikia Anti Ezekiel na Jacob Steven au JB walitangazwa kuwa mabalozi wa ving'amuzi vya Zuku, lakini kwa haya mambo yanayooneshwa na mabalozi hawa kwenye matamasha ya Fiesta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.