2012 sijawahi kucheka zaidi ya hivi

2012 sijawahi kucheka zaidi ya hivi

njundelekajo

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
310
Reaction score
228
Nilikua mkoani iringa nikisikliza moja ya radio inayorusha matangazo yake kutokea mkoani mbeya.kipindi kilikua ni kama mdahalo na mada ilikua ni UTAZITAMBUAJE/UTAITAMBUAJE filamu iliyotengenezwa tanzania kwa kuiangalia tu bila kusikiliza sauti na kusoma maandishi ya utambulisho? mmoja wa wasikilizaji akapiga simu akasema..UKIONA FILAMU INAANZA ALAFU JINI LINATAKA KUVUKA BARABARA LINAOGOPA MAGARI UJUE WABONGO HAO..,,,,,,,je wewe unayesoma hapa ni vipi utaitambua filamu ya kibongo?
 
Unashtuka eti filamu imekwisha bila kupata fundisho la filamu husika na bila kujua hatma ya kila mhusika.
 
Back
Top Bottom