Ameipa jina " VILLA DELPIRLO " likiwa ni jina la mwanae kipenzi ambae siku ya uzinduzi huo ilikua ni birtday yake,huu ni mfano wa kuigwa na wasanii wetu badala ya kubanana kwenye nyumba za kupanga...
Wanajamvi leo ndiyo fainali za BSS 2012,
Naona ITV wapo live, karibuni tujazane yanajiri kwa wale walio mbali na TV zao.
Mpaka sasa wajaji wote watatu wamekwisha ingia ukumbini. Mshindi katika...
wakuu naomba tujikumbushe tetesi ya mwanajf mwenzetu ambaye alitueleza kuwa mwaka huu anayeshinda ni mwanadada kutoka zanzibar.kweli JF ni zaidi ya habari tumpongeze na tujipongeze wanaJF...
Jumuiya ya watumiaji wa huduma mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imezindua rasmi shindano la kusaka kampuni zinazotoa huduma na bidhaa mbovu kwa wateja nchini...
Wanajamvi tetesi zilizopo kwa hewa ni kwamba mshindi mtarajiwa wa BSS kwa sasa atatoka zanzibar.wadau mnanaje hili. How these speculations will affect the selected members!
Tofauti na Bongo Star Search ya mwaka jana 2011, BBS ya mwaka huu naona imekosa mvuto tokea ilipoanza hadi hii leo inapokaribia kilele chake hapo tarehe 09. Nov pale katika ukumbi wa Diamond...
Steve Nyerere aliamua kumuita Hostadhi na kusoma kisomo kwaajili yakumrehemu mwanaye Waiton, lakini kikubwa ambacho alikifanya pia ni kusoma albadili kwa wasanii wenzake ili waweze kujisafisha na...
Hizi radio online zinasaidia sana jamii iliyo nje ya nchi na pia kwa sababu ya kukua kwa technology basi unaweza sikiliza radio kwenye simu, laptop nk. hivyo nawapongeza wamiliki wa vituo hivi kwa...
Unaweza ukawa unasema, Dar es salaam sikuja kuangalia maghorofa, lakinikila siku ukawa unawtiwa changa kutokana na vituko vya mji huu. Hivi hiki kizaa zaa cha mtu na mpenzi wake kugandana wakati...
wanajamii, nimekutana na ujumbe wa mwanaharakati huyu(alpha blondy). anajalibu kuelezea jinsi wanasiasa na viongozi wengine wa kidini wasivyo jali watu wao na kujali/kulinda maslahi yao. kwa...
Habari ya Jumapili wakuu.
Huwa inatokea wimbo mmoja uka-stick kichwani mwako kwa siku nzima. Na huu wimbo unaupata kwa kusikiliza redio nyumbani,redio ya jirani,au unapopita ktk baa,kiosk au...
hiri ri songi ripya rya kijana DON KATAbazi rimenikosha jamani....waweza risikiriza hapa....kwa wapenzi wa bongo freva lakini.. Listen to Nieleze-Don Kata_(produced by mantano) on Hulkshare - Free...
mine is.. I carry the cross, if Virgin Mary had an abortion
I'd still be carried in the chariot by stampeding horses
Had to bring it back to New York
I'm happy that the streets is back in New York...
Natazama miss tanzania kupitia star tv namuona le mutuz a.k.a willium malecela kaojiwa na mtangazaji wa star tv.
Yafutayo ni maongezi yake.
Mtangazaji: "huyu ni mjumbe wa ccm yuko hapa kwenye...
Mimi huwa napenda hiphop sana.Niliposilikiza hii video ya Cypher 2012-Various Artists nilipatwa na mshangao.Sijui Fid Q alikuwa anafikiria nini kwenye ule mstari anaosema "Changanya ****** ili...
Tunawezaje kuwaamini majaji wa Epic Bongo Stars search hususani kuhusu upigaji wa kura. Kwa nini kusingekuwa na screen counts tuone vividly jinsi watu walivyopiga kura ngapi kwa nani. Nimehisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.