Who Killed BOB MARLEY?

Who Killed BOB MARLEY?

Alikufa kwa kansa..Cancer killed him Bujibuji kama inavyomtesa Hugo Chavez
 
Last edited by a moderator:
Wamarekani bwana ni wataalamu wa kukuwekea mionzi na ukapata kansa. Ndicho walicho mfanyia Bob.
 
Hivi inawezekana ikawa ni kweli CIA ndio walio mpandikizia hiyo kansa?

Anything is possible in this world...Mwakyembe ana ushuhuda mkubwa sana kwa hilo. Chavez naye sijui ni malignant tumor gani hiyo inampelekesha mpaka anasahau siku ya kuapishwa...Bob, if he was a thorn in their bushes then they could do it without even hesitating
 
Don't involve Rasta in your say say;
Rasta don't work for no C.I.A.
rat race,rat race
 
null fi ya man gwan man!shasha man,peace and love.
 
Alijkwaa dolegumba wakat anacheza mpira kat ya Weilers na waandsh wa ha habar wa ufaransa mwaka 1979,na alikua anavaa viatu ambavyo vilikua vnatengeneza joto ktk kdonda,hvyo kutengeneza kansa ambayo ilianzia kidolen>uti wa mgongo had kwenye ubongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom