Kipindi cha Naswa - Citizen tv

Kipindi cha Naswa - Citizen tv

Jumamosi saa 1.30 usiku

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kinahusu nn?

kama una kinyamuzi ooh sorry king'amuzi kinakamata digitalale station ya The Citizen ya Kenya angalia kila jumatano na jumamosi saa mbili ucku utajua
 
Kipindi bomu kabisa, ni copy n' paste ya 'Just for Laugh' gigs ... ni online TV kwenye 'Youtube'! Go n' search for it, anyway bora wao wanajua hata kuiga...
 
Very creative.... tanzania kuwa na kipindi kama kile bado sana kwa vijana wetu hawa wanonyoa viduku
 
Wameiga nini haswa?wahusika, uhusika au matukio?
Kipindi bomu kabisa, ni copy n' paste ya 'Just for Laugh' gigs ... ni online TV kwenye 'Youtube'! Go n' search for it, anyway bora wao wanajua hata kuiga...
 
Back
Top Bottom