​
Kipindi cha nyuma nilikua nadhani kila "superstar" ni "role model" hasa nilipokua nafuatilia sana habari za watu mbalimbali maarufu duniani.
Tanzania ukitaja Super Star huwezi kumwacha...
Kwa vijana wa zamani. Nazitafuta nyimbo hizi za bendi ya Orchestra Safari Sound enzi za Ndala Kasheba.
1. Mwanakwetu
2. Nifanye nini dunia hii
3. Bakambi Nkela
4. Kupenda ni upofu...
Katika miaka ya 90, hii ilikua bora kwangu,
https://www.youtube.com/watch?v=jSUSFow70no&list=RDKoz393gAwjQ&index=2
Ipi ilikua yako???
Share...
Weekend njema.
Download Into the Woods Full Movie Free
https://www.facebook.com/IntotheWoodsDownload
P.K. Full Movie Download Free
https://www.facebook.com/PKfullmovie
Habari zenu. Naomba msaada. Kuna wimbo wa zaman sana,kwa mwenye jina la wimbo tafadhali. Wimbo una maneno haya " ngebe na majivuno,umepigwa na kijana mdogo" sjui ni atomic jazz au nan hawa.
Stori: Shani Ramadhani
STAA Jacqueline Wolper Massawe, ambaye ni muigizaji mahiri wa filamu, amewapiku nyota wenzake wa tasnia hiyo baada ya kufanya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Jumamosi...
Nimeonja pendo lako nimejua u mwema
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe
Nitawaongoza vema waimbe kwa furaha
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe.
Ukarimu wako (Bwana), na...
Only days after they were voted this years Best African Act at the MTV Europe Music Awards, Kenyan boy group Sauti Sol have been announced top royalty earners in a statement released by the...
Kiukweli ukiusikiliza huu wimbo ni fundisho tosha kwa maisha ya sasa hasa viongozi wetu. Nenda waptrick , search kisha download halafu sikiliza tenzi za huyu jamaa yaani utafikiri hawa viongozi...
Mnamo mwaka 1993. Mwanamuziki kutoka DRC , Aurlus Mabele, na bendi yake ya LOKETO, walitoa wimbo ujulikanao kama EVELYNE.." Baadhi ya maneno yanayo patikana katika wimbo huo...
Nimehangaika kwa muda mrefu kuzisaka nyimbo za omary kopa mtandaoni ila sijafanikiwa kudownload hata moja kwani natumia simu,naomba mwenye link ya direct download au aliyenazo azishare hapa...
Habari zenu,, naitwa jayffa ni msanii wabongo flaver!! Nahitaji mtu atakaye weza kunipa support ili niweze kuinuka kimuzki unaweza kunipata 0758082840 ili tuweze kusaidian
Alianza msanii mmoja iaka michache ilopita akaigiza filamu iliyoitwa "SHOGA" na baraza la sanaa likaizuiwa lakini hata iliporekebishwa bado muktadha wake haukuwa na faida kubwa kwa jamii ya...
Pls share: Tazama video mpya ya joh_makini "Najiona Mimi (I See Me)" HAPA -http://youtu.be/g9cB8LVJyro- ikiwa ni kazi ya Director Enos Olik Toka Kenya na Audio mkono wa producer Nahreel, Powered...
Tumeona movie zinachezwa na mastaa mbalimbali duniani wakiigiza maisha ya Viongozi na watu mashuhuri, mfano ‘Long Walk to Freedom' aliyoicheza actor Idris Elba akiigiza kama Hayati Nelson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.