hawa watu wako tmk chini ya saidi fella na mmoja alifariki mwaka jana yule aloimba na chege kibao cha dar mpaka moro
Acha urongo. Mmoja wao tuko naye Boko....... anapiga viroba kama hana akili nzuri. Hivi sasa ni dereva wa mzungu mmoja hivi....hawa watu wako tmk chini ya saidi fella na mmoja alifariki mwaka jana yule aloimba na chege kibao cha dar mpaka moro