Aisee hivi kile ni nini au ni macho yangu ki ukweli li kipindi halivutii hata kidogo haichekeshi hata kidogo nimeshangaa sana ina maana nyinyi ndo mlikaaa miez kadhaa mkajipanga ndo kmmerudi kwa...
Pls Share: Follow nikkimbishi therealnikkimbishi & download wimbo wa "Tulia" ft Lydia HAPA https://mkito.com/song/tulia-ft-lydia/7512 produced by ringtone toka Street Sound Music powered by...
Mshiriki wa Bigbrother mwaka 2014
Idris Sultan mshiriki wa mashindano ya Big Brother hotshots.Toka Tanzania ameibuka kidedea wa mashindano hayo yaliyokua yakifanyika nchi Afrika Kusini.
Idris...
Habari zenu wanajamvi, ule mgogoro wa chinichini ambao unasifika kwa kukuzwa na media hatimaye umehitimishwa rasmi baada ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kufanya kikao cha upatanisho baina ya mastaa...
Saa tatu kamili ET kipindi cha Eaten Alive kitarushwa kwa mara ya kwanza na stesheni ya Discovery.
Eti jamaa alienda Peru kusaka joka la Anaconda ili aweze kupata tajiriba ya kumezwa na joka...
Ningependa nitangulize pongezi nzito kwa kijana Idris kwa USHINDI na mchango wake mkubwa kuleta ma $$$ Tanzania.
Tanzania's Idris Beats Out Nigeria's Tayo To Win Big Brother Africa Hotshots...
kipindi cha nyuma kidogoo kam miaka mi5 sasa imepita niliona akipiga picha kwenye pool akisema
mjengo wangu unaendelea hivyo
so far sikuona kingine wala mkamiliko wa ile nyumba
naomba pia...
Mpigie kura mshiriki pekee wa Tanzania Idris na kuleta ushindi nyumbani. Tuma Idris kwenda 15426, gharama yake ni Tsh 600. Hii ni kwa wateja wa Tigo tu. Kuwa mzalendo.
KWA WA ZALENDO WA NCHI YANGU TANZANIA.
Na hii ndio Zawadi kwa Taifa langu kadri ya uwezo wangu. Jiamini Wewe na Mimi tu Watanzania, tukijua hivyo tutailinda AMANI yetu na Upendo tuliyoachiwa na...
Ikiwa tunaelekea mwisho wa mwaka 2014, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wasanii wa hapa Tanzania, Juhudi na jitihada zimefanya wasanii wetu kuvuma kwenye media nyingi wakiwa na support za mashabiki...
October 11, 2014
List of most viewed YouTube videos of Tanzanian artist: List of most viewed YouTube videos - Wikipedia, the free encyclopedia
African Divas - Tanzania - Tribal Twerk - Shaa -...
Anaitwa ---- Yeung ( Tamka ---- Yang).Tulio kulia miaka ya tisini tutakuwa tunakumbuka umahiri wa huyu jamaa. Nilikuwa nikiangalia movie halafu stering akakumbana na huyu...
Hili kundi linazidi kunifurahisha na jinsi linavyoachia ngoma baada ya ngoma, leo nimesikia wimbo wao ila jina siujui wanaimba "ni..ni..niue mahaba niue", naomba mnipe link niweze kupakua.
SPECTRE Explained: All You Need to Know About James Bond's Big Bad
Sean Connery, as James Bond, demonstrates his disarming charms to Charles Gray's SPECTRE chief Blofeld in 1971's Diamonds Are...
Naomba msaada wa kujua mambo muhimu katika kuimba,vitu gan nahitajika kuwa navyo na mengine muhimu...0758082840 unaweza kunipata whatsapp kwa ushirikiano zaid
Kuna comedians ukiangalia movie lote unaboreka heri uliache, hivi nani kawadanganya kubana pua au kuigiza sauti ndo kuchekesha? Sijawahi kuona watu kama kina zumbekuku wamechekesha na sauti zao za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.