Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naona umetulia.Tanzania kukubalika kimuziki ni rahisi kuliko kukubalika kifilamu.Muziki unachangia pato na utajiri wa nchi kwa kiasi kikubwa.Muziki unaitambulisha nchi kwa haraka.Ukisikiliza wimbo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya habari ya kushtua ya msanii wa Hip hop NIKKI MBISHI,kutangaza kuacha MUZIKI. Leo nakuletea baadhi ya mistari ambayo msanii mwenzake wa hip hop ambaye kwa kiasi kikubwa alimu_Inspire ni...
2 Reactions
20 Replies
10K Views
Top Nollywood Actor, Muna Obiekwe Dies Of Kidney Failure Popular Nollywood actor, Muna Obiekwe has passed away after a battle with Kidney failure. The Trent exclusively reports that the actor...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimeiona iko poa sana! Its a kind of a Romantic comedy Stars: Craig Robinson, Kerry Washington, David Alan Grier Sparks fly when Wade Walker crashes the Peeples...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aisee nawapa tano kwa kweli mmenifanya nikumbuke enzi za milambo boys dah nyie watu nyie hatari music za zamani bongo flava nawakubali sana cku hizi ni mapenzi tu kila anaeimba
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kila Mmoja Hapo Katoa Kipande Cha Shairi Lake Kwa Wewe Unaona Yupi Katoa Kijembe Kikubwa Kumzidi Mwenzie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia jana Show ya Sporah, nikahuzunika sana jinsi ambavyo madawa ya kulevya yanaweza kuharibu maisha ya mtu na kumzibia nafasi mbalimbali. Hili ninasema bila kum-judge mtu. Tufunguke...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Hakika kwe ngoma ya Kalla Pina alomshirikisha Dimpoz mchizi kalegea sana.Zile mishe zake za kukaza ka pindi ile hakuna,dizaini kama vile alikuwa anabana pua ili asifichwe na Dimpo. Kweli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika harakati za kufatilia kinachoendelea Hollywood Marekani, nimegundua kuwa Mastaa wengi katika tasnia za filamu na muziki wamekua sehemu ya maisha yetu hasa kwa vijana waliopo katika mashule...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tigo wamezindua tamasha la kiboko yao litakalofanyika tar 24 Mwezi huu pale Leaders club. Diamond, ally kiba,Fa,Fid Q na wengineo watakuwa hapo. Mliopo huko nendeni,mtakaoenda kuzomea au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
We member shusha mistari...Tukuone ndan ya jukwaa, Hip_hop shibe ya ugali.....kivipi ulie njaa? ebu onyesha umahiri......fanya verc kuziachia.
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Lupita continues her red carpet reign in stunning floral gown at Golden Globes She became a style icon after consistently hitting it out of the park during last year's award season. And last...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni jambo lililowazi kwa wafuatiliaji wa muziki wa bongo fleva kuwa kwa sasa wasanii Ally kiba na Diamond wameingia kwenye ushindani mkubwa. Kiasi kwamba Clouds fm na East africa Radio wameingia...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Mwishoni mwa mwaka huu kumetokea mambo kadhaa yaliyoleta msisimko mkubwa katika soko la filamu za kitanzania.... Issue iko hivi,Steps Entertainment ambaye anaaminika kuwa ndiye distributor...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Jamani wacheni utani, nimekatiza mitaa fulani hivi hapa Kimara, nikausikia wimbo wa malaw "pipii" ikabidi nisimame niusikilize nikajikuta napagawa nafuatisha ile mistari dah! Namkubali kichizi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni ukweli kwamba bila jitihada sanaa haitakulipa. Msanii mwenye kuipenda kazi yake na mwenye dhamira ya kweli ya kuona matunda ya kazi yake, sharti ajitume sana ili afanikiwe. Nasisitiza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naongelea reality na sio ushabiki,nyimbo za huyu jamaa kiukweli hazinaga mvuto zimejaa masimulizi tu hazina vionjo wala nini hebu sikiliza wimbo wa cindelela,ya karimu,usiniseme,dushelele,na huu...
1 Reactions
90 Replies
12K Views
Wakuu bila shaka naufahamu wimbo USIZI uliopigwa na The Slaves. wengi wanadhani wimbo huu uliimbwa na Lucky Dube, lakini ukweli ni kwamba aliyeimba ni Thetukani Cele. Luky Dube alikuwa member tu...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii Diamond Platnumz achaguliwa kuwania Tuzo za Hiphop Music Awards pamoja na msanii Ommy Dimpoz watagombea katika category ya East Africa Super Hit kwa nyimbo ya Ndagushima ya Ommy Dimpoz na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Yeoooooooooooooooo! yaaah kama kawa naomba tujikumbushe hip hop za majuu zilinazo wika na zitaendelea kutamba katika ulimwengu wa muziki pendwa kabisa duniani namanisha mziki wa wakubwa hiphop...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom