Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Aisee hivi kile ni nini au ni macho yangu ki ukweli li kipindi halivutii hata kidogo haichekeshi hata kidogo nimeshangaa sana ina maana nyinyi ndo mlikaaa miez kadhaa mkajipanga ndo kmmerudi kwa...
1 Reactions
49 Replies
8K Views
wazee diamond yupo wp, mbona kimya sana? inamaana dharau za p.square kapotezea au? au ndo anaaandaa nae kazi huko nigeria? tujulishane basi
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Pls Share: Follow nikkimbishi therealnikkimbishi & download wimbo wa "Tulia" ft Lydia HAPA https://mkito.com/song/tulia-ft-lydia/7512 produced by ringtone toka Street Sound Music powered by...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mshiriki wa Bigbrother mwaka 2014 Idris Sultan mshiriki wa mashindano ya Big Brother ‘hotshots’.Toka Tanzania ameibuka kidedea wa mashindano hayo yaliyokua yakifanyika nchi Afrika Kusini. Idris...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
http://m.youtube.com/watch?v=_TOHXS2zsD8
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi, ule mgogoro wa chinichini ambao unasifika kwa kukuzwa na media hatimaye umehitimishwa rasmi baada ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kufanya kikao cha upatanisho baina ya mastaa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Saa tatu kamili ET kipindi cha Eaten Alive kitarushwa kwa mara ya kwanza na stesheni ya Discovery. Eti jamaa alienda Peru kusaka joka la Anaconda ili aweze kupata tajiriba ya kumezwa na joka...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Ningependa nitangulize pongezi nzito kwa kijana Idris kwa USHINDI na mchango wake mkubwa kuleta ma $$$ Tanzania. Tanzania's Idris Beats Out Nigeria's Tayo To Win Big Brother Africa Hotshots...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
kipindi cha nyuma kidogoo kam miaka mi5 sasa imepita niliona akipiga picha kwenye pool akisema mjengo wangu unaendelea hivyo so far sikuona kingine wala mkamiliko wa ile nyumba naomba pia...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mpigie kura mshiriki pekee wa Tanzania Idris na kuleta ushindi nyumbani. Tuma Idris kwenda 15426, gharama yake ni Tsh 600. Hii ni kwa wateja wa Tigo tu. Kuwa mzalendo.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
KWA WA ZALENDO WA NCHI YANGU TANZANIA. Na hii ndio Zawadi kwa Taifa langu kadri ya uwezo wangu. Jiamini Wewe na Mimi tu Watanzania, tukijua hivyo tutailinda AMANI yetu na Upendo tuliyoachiwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii forums hivi kupeleka Muziki redion ili ipigwe na pesa au inakuaje
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi hii movie series Z nation ina uhusiano gani na ebola huko Liberia, kwa walioiona coz it's still brand new
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ikiwa tunaelekea mwisho wa mwaka 2014, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wasanii wa hapa Tanzania, Juhudi na jitihada zimefanya wasanii wetu kuvuma kwenye media nyingi wakiwa na support za mashabiki...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
October 11, 2014 List of most viewed YouTube videos of Tanzanian artist: List of most viewed YouTube videos - Wikipedia, the free encyclopedia African Divas - Tanzania - Tribal Twerk - Shaa -...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Anaitwa ---- Yeung ( Tamka ---- Yang).Tulio kulia miaka ya tisini tutakuwa tunakumbuka umahiri wa huyu jamaa. Nilikuwa nikiangalia movie halafu stering akakumbana na huyu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hili kundi linazidi kunifurahisha na jinsi linavyoachia ngoma baada ya ngoma, leo nimesikia wimbo wao ila jina siujui wanaimba "ni..ni..niue mahaba niue", naomba mnipe link niweze kupakua.
0 Reactions
30 Replies
6K Views
SPECTRE Explained: All You Need to Know About James Bond's Big Bad Sean Connery, as James Bond, demonstrates his disarming charms to Charles Gray's SPECTRE chief Blofeld in 1971's Diamonds Are...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Naomba msaada wa kujua mambo muhimu katika kuimba,vitu gan nahitajika kuwa navyo na mengine muhimu...0758082840 unaweza kunipata whatsapp kwa ushirikiano zaid
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna comedians ukiangalia movie lote unaboreka heri uliache, hivi nani kawadanganya kubana pua au kuigiza sauti ndo kuchekesha? Sijawahi kuona watu kama kina zumbekuku wamechekesha na sauti zao za...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Back
Top Bottom