Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Siku chache zilizopita, kampuni ya utengenezaji filamu ya Sony Pictures Entertainment ilisitisha uzinduzi wa filamu ya vichekesho inayoenda kwa jina la The Interview baada ya kupata vitisho...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu Chanel E-Africa huwa wanaonesha siku gani mieleka laivu?
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Kama uko pande hizi ni pm japo tubadirshane mawazo hasa jinsia ya ke Nb; kinywaji ni whindoek sijui inaandikwa hvyo ila namaanisha windok bear na ziszizidi 10 nakufukuza mbele za watu kudadadeki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2014 was of glitter and success stories SHARE BOOKMARKPRINTEMAILRATING In the East African spirit: The mysterious project by these two became such pre Christmas talk in East Africa. By Paul...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je,kufungiwa kufanyika kwa shindano la kumsaka mrembo wa tz, kutapunguza changamoto kama kudanganya umri n.k?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi na wafatiliaj wa muzik kama mimi, kuna dada anaitwa Zahara mwenye nyimbo flan inaitwa Loliwe, kama hukuwa umeisikiliza album yote yenye huo wimbo inaitwa Loliwe hvy hvy...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimetazama hii video ya Diamond & Yemi Alade wakiwa na coke studio na binafsi nimeipenda sana..Imenifanya nifikirie mara mbili mbili kuhusu Naseed Abdul,ceteris peribus(all factors remain...
6 Reactions
58 Replies
8K Views
Wanandugu Wa JAMIIFORUM tunakaribisha ktika UZI kwa ajili ya kutupia nyimbo za kimyakimya za mapenzi kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya-2015. Naanza Na Hii Hapa.SONG-broken...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kundi la Bracket (hit makers wa Yori yori) la Nigeria limeachia rasmi audio ya collabo yao waliyofanya na staa wa Bongo Diamond Platnmuz. Katika wimbo huo uitwao ‘Alive’ ambao video yake...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
leo siku ya xmas nimepoa kwenye Sony bravia yangu naagalia zilizopendwa najisikia raha sana...nyimbo kama Kasongo...Nyakonyako..lipualipua kingkikii akiwa bado kijana..endeleeni kutuletea vitu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari nilizozipata hivi punde miss tanzania yafungiwa miaka 2,hii inatoka na kuvurunda kwao kwa kumvalisha Taji Seat Mtemvu.... Ngoja nafuatilia nije na nondo za uhakika
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Leo tunasherekea sikukuu nikiwa na furaha kwa ajili ya vijana wetu wanaoimba mziki wa Kitanzania ambao umekuwabranded kama Bongo Flava. Nakumbuka Katikati ya miaka ya 1990 walijitokeza vijana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuelekea ule mtanange wa nani mtani jembe katika tasnia ya mziki wa dansi la kitanzani, siku ya tarehe 25-12-2014 ndani ya viwanja vya TTC club chang'ombe, ni mpambano mkali kati ya bendi ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Video ya bracket ft Diamond and Tiwa Savege imetoka click hapa kuitazama https://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=52BbWU9Sot8#t=3
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Jina la tamthilia hii ni be careful with my heart " ila wengi wamezoeya kuiita MAYA asili ya tamthilia hii ni katika mji wa manila uko amerika ya kusini,tamthilia hii imepata umaarufu sana hapa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes...
2 Reactions
33 Replies
11K Views
Huu wimbo ulinifanya nikujue wewe... chorus. jipe moyo (jipe moyo) utayashindaaaa saa ya mwisho (saa ya mwisho) vumiliaaa sasa dah! nimesikia umeenda kisutu! so umeshindwa kufanya kile...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyota ya Diamond inazidi kuwaka nchini Nigeria. Wimbo wa coco baby wa Waje aliomshirikisha msanii bilionea Diamond platnumz ndio the most requested song nchini Nigeria kwa sasa. Hii ni kitu cha...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Ni Wizkid wakuu, Jamaa anaweza sana. Na hao wadada wanaoonekana kwenye video zake ni balaa. Tazama video yake ya In My Bed.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika Makala yake aliyoiandika kwenye gazeti la Mwanaspoti la wiki hii... Baada ya kuisoma kwa utulivu na umakini nimegundua Edo ni moja kati ya hazina kubwa ya wachambuzi Tanzania tunaopaswa...
4 Reactions
21 Replies
13K Views
Back
Top Bottom