Siku chache zilizopita, kampuni ya utengenezaji filamu ya Sony Pictures Entertainment ilisitisha uzinduzi wa filamu ya vichekesho inayoenda kwa jina la The Interview baada ya kupata vitisho...
Kama uko pande hizi ni pm japo tubadirshane mawazo hasa jinsia ya ke
Nb; kinywaji ni whindoek sijui inaandikwa hvyo ila namaanisha windok bear na ziszizidi 10 nakufukuza mbele za watu kudadadeki...
2014 was of glitter and success stories
SHARE BOOKMARKPRINTEMAILRATING
In the East African spirit: The mysterious project by these two became such pre Christmas talk in East Africa.
By Paul...
Kwa wale wapenzi na wafatiliaj wa muzik kama mimi, kuna dada anaitwa Zahara mwenye nyimbo flan inaitwa Loliwe, kama hukuwa umeisikiliza album yote yenye huo wimbo inaitwa Loliwe hvy hvy...
Nimetazama hii video ya Diamond & Yemi Alade wakiwa na coke studio na binafsi nimeipenda sana..Imenifanya nifikirie mara mbili mbili kuhusu Naseed Abdul,ceteris peribus(all factors remain...
Wanandugu Wa JAMIIFORUM tunakaribisha ktika UZI kwa ajili ya kutupia nyimbo za kimyakimya za mapenzi kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya-2015. Naanza Na Hii Hapa.SONG-broken...
Kundi la Bracket (hit makers wa Yori yori) la Nigeria limeachia rasmi audio ya collabo yao waliyofanya na staa wa Bongo Diamond Platnmuz. Katika wimbo huo uitwao Alive ambao video yake...
leo siku ya xmas nimepoa kwenye Sony bravia yangu naagalia zilizopendwa najisikia raha sana...nyimbo kama Kasongo...Nyakonyako..lipualipua kingkikii akiwa bado kijana..endeleeni kutuletea vitu...
Habari nilizozipata hivi punde miss tanzania yafungiwa miaka 2,hii inatoka na kuvurunda kwao kwa kumvalisha Taji Seat Mtemvu....
Ngoja nafuatilia nije na nondo za uhakika
Leo tunasherekea sikukuu nikiwa na furaha kwa ajili ya vijana wetu wanaoimba mziki wa Kitanzania ambao umekuwabranded kama Bongo Flava.
Nakumbuka Katikati ya miaka ya 1990 walijitokeza vijana...
Kuelekea ule mtanange wa nani mtani jembe katika tasnia ya mziki wa dansi la kitanzani, siku ya tarehe 25-12-2014 ndani ya viwanja vya TTC club chang'ombe, ni mpambano mkali kati ya bendi ya...
Jina la tamthilia hii ni be careful with my heart " ila wengi wamezoeya kuiita MAYA asili ya tamthilia hii ni katika mji wa manila uko amerika ya kusini,tamthilia hii imepata umaarufu sana hapa...
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes...
Huu wimbo ulinifanya nikujue wewe...
chorus.
jipe moyo (jipe moyo) utayashindaaaa
saa ya mwisho (saa ya mwisho) vumiliaaa
sasa dah! nimesikia umeenda kisutu! so umeshindwa kufanya kile...
Nyota ya Diamond inazidi kuwaka nchini Nigeria. Wimbo wa coco baby wa Waje aliomshirikisha msanii bilionea Diamond platnumz ndio the most requested song nchini Nigeria kwa sasa.
Hii ni kitu cha...
Katika Makala yake aliyoiandika kwenye gazeti la Mwanaspoti la wiki hii... Baada ya kuisoma kwa utulivu na umakini nimegundua Edo ni moja kati ya hazina kubwa ya wachambuzi Tanzania tunaopaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.