Nimekumbuka hiyo TV.......ilikuwaga kwa kina Angela..........shida tupu........
ina Angela ndo walikua na TV mtaani kwenu enzi hizo?
kweli tumetoka mbali
sinema za 'commando kipensi na commando john' ndo mlitazama kwa kina Angela?
Kwao kina Angela walikuwa nayo........basi kila mtu anajipendekeza kuwa rafiki yake........yaani mpaka kazi tulikuwa tunamfanyia..... ili tu uingie kwao ukaangalie tv.........