Haya fuatilieni mahojiano juu ya tamaisha hili la leo mjionee na kusikia kama maandalizi yanaendana na thamani ya tiketi zenu au ni ujanja ujanja wa mjini wa waandaji?ni live clouds tv/radio...
Zari/Diamond White Party imetangazwa kwa muda mrefu sana na ndiyo hiyo
imeshatimia inafanyika usiku wa leo 1/5/2015.Kiingilio ni mamilioni, malaki
na maelfu na kuna watu wanahaha kutafuta tiketi...
R&B and soul singer Ben E King, best known for the classic song Stand By Me, has died at the age of 76.
King started his career in the late 1950s with The Drifters, singing hits including There...
Licha ya kua ni mwanamziki anaefanya poa sana kwenye tasnia hii ya muziki wa bongo flavor hasa kwa upande wa R&B, kias cha kubeba tuzo kadhaa za mwanamuziki bora wa R&B pia hata wimbo bora wa R&B...
Kwenye link hapo chini nimeweka wimbo wa Mrisho Mpoto uitwao "Waitwe"
Nimeusikiliza mara mbili tatu ila sielewi maana hata kidogo. Ni nani hao anataka waitwe na kwa sababu gani?
Huyu Mjomba kwa...
Watangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Powerbreakfast Gerald Hando pamoja na Hudson Kamoga wa Clouds TV kupitia kipindi cha Clouds 360 wakifanya mahojiano na Msanii mahiri wa muziki wa...
Diamond, Zari and Diamond's management are in Zanzibar as the singer is set to perform tonight at Ngome kongwe. Here are some pics...............
with Zanzibar's famous designer Doreen...
Majina ya walioingia kwenye tuzo mwaka huu. Kura zitaanza kupigwa May 5.
MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME
1. Mzee Yusuf
2. Christian Bella
3. Diamond Platnumz
4. Ally Kiba...
zari all white party ni show ambayo inahudhuriwa na baadhi ya mastar wakiwamo 1.Godfather 2.Top ten ya washindi wa big brother africa,na wengine wengi kibao,je kwa...
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini...
Pamoja na wadau wengine wote naomba mnisaidie kuchambua maana halisi au nini ilikuwa nia ya mtunzi mahiri wa nyimbo za taarab nchini Mzee Yusuph katika wimbo wake mpya usemao " Ikisimama panda "...
Tazama Video ya Sophia ya Ben Pol Hapa/ Watch Ben
Pol - Sophia ( Official Video ) on YouTube
www.youtu.be/81i3dybXK8U
Nilichopenda humu ni kuwepo kwa video queen mwenye albinism
Wadau kwa kawaida mimi ni mgumu sana kulia lakini kuna baadhi ya films zinanifanya kutoa machozi kabisaaa bila kupenda
My sisters keeper(my sadiest movie ever)
John Q(a poorest man struggle to...
Niaje wana JF,
Mwana wenu karudi tena. Kama ilivokua kwa wimbo wa Mwana, JF ndo ilikua ya kwanza kuupata kupitia mimi basi nimeona nisiwe mchoyo niwape tena huu wa Chekecha Cheketua...
Habarini.wadau naomba msaada nawezaje ku download Nigerian movies ambazo ni latest nimejaribu kutumia you tube ku download lkn zinakuwa hazipo in format nzuri kwa mfano kipande cha party one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.