Nilikuwa namchukulia dogo poa ila kwa hii kitu ninamheshimu kweli. Sijua KTMA kama yuko kwenye kategori ya utunzi bora ila kama yupo basi anabeba tuzo. Huu wimbo wa Ruby ninausikiliza kila baada...
Toka siku ya kwanza nausikia wimbo wako wa Crazy,nilijua ipo siku wapenda burudani watakuelewa,hiyo ilikuwa 2012 nikiwa moshi na ulifanya wimbo huu na noda,then later on u featured Mwana Fa on the...
wapendwa wakubwa habari za majukumu.
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa miziki ya legge, hasa hasa lucky dube ila sijajua tokea kufariki kwake kama ile bendi inaendelea kutoa burudani au la na kama...
Billboard Music Awards mwaka 2015-haiko mbali sana.
Muda umefika..-kwenye headlines kubwa za weekend hii ni hizi tuzo za-hizo,-shughuli yote itakuwa pale-Grand Garden Arena, Marekani.
Walioongoza...
hellow!!
ombi ombi yule anaeweza kuandika script kwa kiwango cha kimataifa au cha ubora unaohitajika naomba aungane namimi katika uandikaji wa script za filam nne (kali) sina pesa ya kumlipa but...
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanajaro Premium Lager leo wametangaza rasmi wateule (Nominees) wa vipengele 32 vya tuzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Tanzania Music...
Wasalaam wanajamvi,
Ni ukweli ulio wazi kabisa Alikiba ni mmoja wa waimbaji/wanamuziki bora kabisa na mwenye kipaji cha aina yake hasa kuimba ni wazi soko la muziki limebadilika sana na limekuwa...
Mastaa hawa wakike wakiafrica wameungana na kutoa video ya pamoja kuhamasisha nguvu ya wakina mama kupambana na umasikini. Nyimbo inaitwa "strong girl" itizame hapo chini tuchangie maoni...
B.B. King - ambaye anatambuliwa kuwa bingwa wa muziki aina ya Blues ulimwenguni amefariki akiwa na miaka 89.
Jinsi anavyocheza gita lake kuliathiri pakubwa kizazi cha wacheza gitaa.
Alizaliwa...
Mimi huwa najiuliza wabongo huwa tunataka wasanii wetu waimbe muziki wa aina gani hasa.
Najiuliza kwa sababu msanii akiimba style za kinaigeria watamsema sana kwamba kwa nini aimbe style za west...
Wakuu nautafuta sana wimbo mmoja wa zilipendwa ila sikumbuki jina lake nakumbuka tu ubeti mmoja unasema hivi : Wewe anza mimi namaliza bora tusielewane vibaya. Je kuna anayekumbuka unaitwaje na...
Wakuu salam....
Kwa wale timu kiba vs timu daimond.....
Kwa kusema kiukweli ili kumsaidia huyu Msanii wetu alikiba anahitaji abadilike saana kwenye video zake, yaani ukiiangalia hii video...
Kila mtanzania mwenye mapenzi mema na muziki wetu.mpigie kura K 4 REAL katika category zote kwenye KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS. vote for K 4 REAL.
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE STARTV LIVE ONLINE
RADIO FREE AFRICA TANZANIA IPO LIVE ONLINE KTK LINKI HAPO JUU, JE WEWE MWANA- JAMIIFORUMS POPOTE ULIPO DUNIANI UNAIPATA?
HABARI HII...
jamani mbona movie nyingi za kibongo zinatukoroga sana. utakuta jina la movie limeandikwa kingereza mfano ,KILLER, MY TEARS, VILLAGE LIFE,nk lakini cha ajabu humu ndani wanaongea kiswahili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.