Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,337
- 8,782
Leo nilikuwa nikitizama project za one8 na one campaign. Moja ya vipaji nilivyovishuhudia humo ndani ni wabongo, mtoto wa kihehe Alli kiba na mtoto wa kimanyema Diamond Platnumz. Nimesikia zile back vocal za Kiba katika Hands Accross the world, jamaa anajua. Nimesikiliza Single boy, My everything na Cindelela, jamaa ni talented tena sana kwa Africa labda wizkid kwa mbaali anagusa vocal za Ali kiba.
Nimesikiliza ngoma ya Africa rise up, Cocoa na Chocolate, Mbagala, Kamwambie, My number one na ntampata wapi. Diamond anajua ana kipaji, ana swagg, ni talented. Ukiangalia hizo video utagundua hata madirector wa hizo video za project, yaani one8 na one campaign, walikubali uwezo wa hawa jamaa wawili ndo maana wamekuwa wakiwaonesha sana hawa watu kwenye hizo nyimbo... Ali kiba na Diamond wanaweza kuteka muziki wa Africa na dunia kwa ujumla.
Jamaa hawa wanahitaji kushare skills zao ili kufanya mziki mzuri zaidi ya huu wanaofanya. Ni wakati wa hawa watu kushirikiana kufanya kazi pamoja na kuipaisha Tanzania kwa pamoja.
Msingoje mpaka mchoke, mpoteze mashabiki, mpoteze mvuto ndiyo mpatane na kufanya kolabo, haitaleta maana, Haitakiki, Haitawapa hela, itakuwa kama nyimbo ya underground wanaojifurahisha.
Wakati ni sasa, acha utoto fanya kazi, tafuta hela..
#TeamWCB
#AFTER THE MIDDLE FINGER INC.
Nimesikiliza ngoma ya Africa rise up, Cocoa na Chocolate, Mbagala, Kamwambie, My number one na ntampata wapi. Diamond anajua ana kipaji, ana swagg, ni talented. Ukiangalia hizo video utagundua hata madirector wa hizo video za project, yaani one8 na one campaign, walikubali uwezo wa hawa jamaa wawili ndo maana wamekuwa wakiwaonesha sana hawa watu kwenye hizo nyimbo... Ali kiba na Diamond wanaweza kuteka muziki wa Africa na dunia kwa ujumla.
Jamaa hawa wanahitaji kushare skills zao ili kufanya mziki mzuri zaidi ya huu wanaofanya. Ni wakati wa hawa watu kushirikiana kufanya kazi pamoja na kuipaisha Tanzania kwa pamoja.
Msingoje mpaka mchoke, mpoteze mashabiki, mpoteze mvuto ndiyo mpatane na kufanya kolabo, haitaleta maana, Haitakiki, Haitawapa hela, itakuwa kama nyimbo ya underground wanaojifurahisha.
Wakati ni sasa, acha utoto fanya kazi, tafuta hela..
#TeamWCB
#AFTER THE MIDDLE FINGER INC.