BIG RASPEKT TO ALL MAMAZ, ESP. THE AFRIKAN MAMA WHOSE MAJORITY OF WORK IS TOUGH AND YET SHE LOVINGLY CARE AND CARE AND CARE MUCH LUV
* Wimbo kwa ajili yenu (bonyeza kitufe play apo chini)...
Jamani Jamvini Naombeni Msaada Wa Nyimbo Ya Mrembo Na Siku Kama Hizi Za TID Kwenye Album Yake Ya Kwanza Iliyotoka 2003
Nazikibula Sana Hizi Nyimbo Nimeshaenda Wapsite Nyingi Bila Mafanikio Msaada...
Mimi napenda sana,movies za kutisha sana kama zombies movie na zingine zenye kutisha
Naomba kutajiwa majina ya movies hizo mimi nitazidownload au kama unaifaham link au website yenye movies za...
Wakuu tukiwa tunaendelea na wikiendi, mwenzenu usiku huu nimekumbuka mbali sana baada ya kusikia wimbo wa Chicco -Ineed some money,
Nimekumbuka miaka ya tisini na kitu huko Tarime - Mara...
VIDEO: Diamond Platnumz Nasema Nawe ft. Khadija Kopa
Diamond Platnumz divulges yet another outstanding video to his recent single entitled Nasema Nawe featuring Khadija Kopa. Directed by...
Kiufupi ni kwamba awa jamaa wako vizuri sana katika gamu ya hip hop hapa bongo, wamefanya mapinduzi ya kupigiwa mstari, kuanzia uandishi, ghani yaani atleast zile nguzo tano za hiphop wanazifuata...
Wakati imebakia miezi michache kabla ya uchaguzi na kushuhudia CCM ikijinyakulia ushindi tena wa KISHINDO, si mbaya tukajikumbusha kale kawimbo ketu ambacho kanasema " watanzaniaaa, watanzaniaa...
kuna maneno mengi yameibuka ndani ya mitandao eti kuna walio muona live zari the boss lady kupitia,all white party wameanza kumlinga nisha na wema sepetu, eti wameanza kusema na kucoment kwamba...
Umofia kwenu wana JF,
Nazitafuta hizi nyimbo sana bila mafanikio,mwenye nazo please naomba azi-attach hapa.
1:Bichuka-Si wazuri Binadamu.
2:Patrick Balisidya-Wema Hawana Maisha...
Busara na hekima ni siri ya mafanikio ya huyo boxer.
Baada ya mpambano wa jana wall yake facebook ameandika "To all the fans, thank you for all your support. Thank you for always being there for...
Floyd Mayweather Jr Retires!
Official personal statement:
It is with a heavy heart that I write you this message today. I have decided to permanently retire from boxing. This decision was...
Nilikuta zimepostiwa kwenye thread moja ikabidi nitafute hizi series nikazidownload walaaah ni nzur kish**nz
nazo ni The 100 ambayo imeishia season 2 na the last ship nayo imeishia season 2 kama...
Habari zenu wana JF..
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24.
Nimezaliwa ktk familia ya kipato cha chini(maskini), elimu yangu ni O_level kidato cha nne.Nimezaliwa ktk wilaya ya Kibondo...
jamani wadau nimeambia na watu wengi wa karibu ikiwemo ndugu zangu nifanye mashindano ya umiss
sasa najua kuna kuanzia level za vitongoji na mambo mengine hapo katikati
nina vigezo vingi so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.