Big L: 'The Most Valuable Poet on the M.I.C'

Big L: 'The Most Valuable Poet on the M.I.C'

Roger Sterling

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
13,010
Reaction score
23,656
Jay-Z-Big-L-Source-Life-Radio.jpeg

Big L, with Jay-Z.




You already know the name or you musta heard. Rated highly among rap' heads, Big L alizaliwa tarehe na siku kama ya leo (May 30, 1974) huko NYC. Kwa bahati mbaya Jamaa alifariki February 15, 1999 baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana(drive-by shooting) akiwa na miaka 24. And tho he's in the dirt, some of his work is still celebrated on the decks to-date.



Kama unaijua 'Whoa!' ya Black Rob then unamjua Dj Buckwild aliyeitayarisha, pia utakuwa unafahamu kwamba streats' anthems are his forte, na hii pia aliitayarisha yeye so unaweza kupata picha kama huijui tayari. Rob's was story telling and representing, L's is representing kama title yenyewe 'Put it On' inavyojieleza, ft Kid Capri. Dope track.



Ingine nayoikubali kutoka kwake iko attached hapo chini, imefanyiwa utundu ikaongezwa sauti ya Biggie Smallz. Baadhi ya lines zinakwenda hivi
'And nowadays girls want you for your money/
I'm like Hev, I got nothing but love for you honey/
And since I'm looking slick and my pockets are thick/
I need surgery to get chicks removed from my D..(chill)/
I'm coming straight out the N.Y.C., rap's my j.o.b, and I'm M.V.P./

(L)...If rap was a game i'd be MVP, (Biggie)...The most valuable Poet on the m.i.c'

Happy Birthday L.

 

Attachments

Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom