hellow!!
ombi ombi yule anaeweza kuandika script kwa kiwango cha kimataifa au cha ubora unaohitajika naomba aungane namimi katika uandikaji wa script za filam nne (kali) sina pesa ya kumlipa but...
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanajaro Premium Lager leo wametangaza rasmi wateule (Nominees) wa vipengele 32 vya tuzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Tanzania Music...
Wasalaam wanajamvi,
Ni ukweli ulio wazi kabisa Alikiba ni mmoja wa waimbaji/wanamuziki bora kabisa na mwenye kipaji cha aina yake hasa kuimba ni wazi soko la muziki limebadilika sana na limekuwa...
Mastaa hawa wakike wakiafrica wameungana na kutoa video ya pamoja kuhamasisha nguvu ya wakina mama kupambana na umasikini. Nyimbo inaitwa "strong girl" itizame hapo chini tuchangie maoni...
B.B. King - ambaye anatambuliwa kuwa bingwa wa muziki aina ya Blues ulimwenguni amefariki akiwa na miaka 89.
Jinsi anavyocheza gita lake kuliathiri pakubwa kizazi cha wacheza gitaa.
Alizaliwa...
Mimi huwa najiuliza wabongo huwa tunataka wasanii wetu waimbe muziki wa aina gani hasa.
Najiuliza kwa sababu msanii akiimba style za kinaigeria watamsema sana kwamba kwa nini aimbe style za west...
Wakuu nautafuta sana wimbo mmoja wa zilipendwa ila sikumbuki jina lake nakumbuka tu ubeti mmoja unasema hivi : Wewe anza mimi namaliza bora tusielewane vibaya. Je kuna anayekumbuka unaitwaje na...
Wakuu salam....
Kwa wale timu kiba vs timu daimond.....
Kwa kusema kiukweli ili kumsaidia huyu Msanii wetu alikiba anahitaji abadilike saana kwenye video zake, yaani ukiiangalia hii video...
Kila mtanzania mwenye mapenzi mema na muziki wetu.mpigie kura K 4 REAL katika category zote kwenye KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS. vote for K 4 REAL.
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE STARTV LIVE ONLINE
RADIO FREE AFRICA TANZANIA IPO LIVE ONLINE KTK LINKI HAPO JUU, JE WEWE MWANA- JAMIIFORUMS POPOTE ULIPO DUNIANI UNAIPATA?
HABARI HII...
jamani mbona movie nyingi za kibongo zinatukoroga sana. utakuta jina la movie limeandikwa kingereza mfano ,KILLER, MY TEARS, VILLAGE LIFE,nk lakini cha ajabu humu ndani wanaongea kiswahili na...
Freddie Mercury (5 September 1946 24 November 1991) was a British singer, songwriter and producer, best known as the lead vocalist and lyricist of the rock band Queen. As a performer, he was...
Nakumbuka maneno baadhi ya wimbo ila jina na msanii sikumbuki.
"Beti unaondoka ee, kwangu unaniacha, nami sina la kufanya, mama uende salama.
Mawazo x 3
Ukiwa x3 ........."
Nadhani tumeshuhudia wanamziki wengi hapa Bongo wanajua sana kuimba na kutunga nyimbo, lakini wawapo jukwaani wamekua wakitumia CD (playback), wanatumia beat zilizotengenezwa studio.
Lakini...
Wakuu,
Ni Wengi tunapenda kuangalia movies ila muda mwingi tunakua mbali na PC, laptop ama TV zetu. ningependea kushare na wenzangu sites hizi mbili ambapo ni among nyingne nyingi tu wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.