Mchiwa Ng'ambaku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 959
- 803
Kufuatia mafanikio ya misimu miwili iliyopita ya coke studio, coca cola company kwa kushirikiana na Kenya airways wanakuletea coke Studio season 3
Tofauti na show nyingine, show hii haiko kimashindano bali imelenga kuonyesha vipaji vya wasanii mbali mbali Africa na pia inatoa fursa kwa wasanii wanaochipukia kufanya kazi na wasanii wakubwa na wa kimataifa.
Msimu huu mpya utajumuisha wasanii kutoka Nigeria, Mozambique, Tanzania, Kenya na Uganda.
Ambapo Tanzania itwakilishwa na Vanessa Mdee, Ally Kiba na Ben Pol.
Na katika production atakwepo Nah Reel.
Nigeria watakwepo 2face Idibia, MI, Flavour,
Olamide, Ice Prince, Seyi Shay, Chidinma, Yemi Alade, Eva and DiJa.
Kenya itawakilishwa na Avril, Wangeci na Elani.
Uganda watakwepo J.Chameleon na Keko,
Wakati Mozambique watakwepo Neyma na Dama Do Bling
26 african musicians for coke studio
My take.
Huu ndo wakati wenu sasa Ally Kiba na Ben Pol kuchukua fursa kupiga hatua kuutangaza music wenu kimataifa.
Vanessa Mdee sina wasiwasi nae huyu sista najua ni mchakarikaji sana, alionyesha uwezo msimu uliopita.
Tofauti na show nyingine, show hii haiko kimashindano bali imelenga kuonyesha vipaji vya wasanii mbali mbali Africa na pia inatoa fursa kwa wasanii wanaochipukia kufanya kazi na wasanii wakubwa na wa kimataifa.
Msimu huu mpya utajumuisha wasanii kutoka Nigeria, Mozambique, Tanzania, Kenya na Uganda.
Ambapo Tanzania itwakilishwa na Vanessa Mdee, Ally Kiba na Ben Pol.
Na katika production atakwepo Nah Reel.
Nigeria watakwepo 2face Idibia, MI, Flavour,
Olamide, Ice Prince, Seyi Shay, Chidinma, Yemi Alade, Eva and DiJa.
Kenya itawakilishwa na Avril, Wangeci na Elani.
Uganda watakwepo J.Chameleon na Keko,
Wakati Mozambique watakwepo Neyma na Dama Do Bling
26 african musicians for coke studio
My take.
Huu ndo wakati wenu sasa Ally Kiba na Ben Pol kuchukua fursa kupiga hatua kuutangaza music wenu kimataifa.
Vanessa Mdee sina wasiwasi nae huyu sista najua ni mchakarikaji sana, alionyesha uwezo msimu uliopita.