Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Eti kati ya Christian Bella na Tunda man ni nani mkali wa melodi hapa nchini Au nani unaye mkubali kuwa ni mkali wa melodi hapa Tanzania mtaje
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ukiangalia wasanii waigizaji wa sinema wa nje uwa wanaongea taratibu na wanaeleweka vizuri tu yaani movie hazina makelele na huwezi kuona wakipayuka hovyo hovyo. Hii ni tofauti na wasanii wetu...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wana jamvi, kama kuna mtu mwenye wimbo wa ndugu Che Mundugwao (marehemu kwa sasa, RIP) aniwekee/atuwekee hapa angalau tuburudike na kumuenzi Mwenzetu huyu. nimetafuta kwenye source zote nimekosa...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wana-JF, naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye audio ya wimbo wa kimakonde 'kila munu ave na kwao' anielekeze jinsi ya kuupata au aniwekee hapa niweze kuu download. Natangulza shukran...
1 Reactions
6 Replies
13K Views
Mayunga From Tanzania ashinda Airtel Trace Music Star Africa Mbele ya Jaji Akon.Akon amwagia Sifa nyingi sana.Apatashavu la kufanya kazi na Akon.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
this how we start the weekend
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Salaam wadau...!. Kama mada inavyosema wadau naomba mnisaidie jina la huu wimbo please.............ni soundtrack toka kwenye Final Destination IV. Nimejaribu ku-convert to mp3 ili muweze...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yupi una mkubali hapa NTOMBI, PAMELA NKUTHA, AWILO(DRC), MAFULA, YVON CHAKA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mida hii imetokea nasikiliza kipindi cha Hizi Nazo ya Redio One Stereo. Huyu mchambuzi Rajabu Zomboko ana data za kutosha kuhusu muziki, hasa zamani. Nasikiliza anamuelezea jabali la muziki...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Galaxy New Video Galaxy Tam Tam Please share. http://www.youtube.com/watch?v=Yh_LZ6yu2QM http://www.vevo.com/watch/QMAXQ1500489
0 Reactions
3 Replies
2K Views
INASIKITISHA SANA: Mwanadada LULU afiwa na mpenzi wake LEO siku ya birthday yake...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nilikua sijui kama waturuki waku vizuri kiasi hiki kwenye mambo ya Tamthilia. Kwangu mimi hii ni tamthilia bora kabisa, hongera TV 1 tz kwa burudani hii!
1 Reactions
0 Replies
4K Views
.
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Habari Tycoons na Mogul wa Muziki, Nime-attach wimbo hapa kwa yeyote anayeujua anitajie jina lake,nautafuta sana hii audio clip niliu-record redioni ulipopigwa. Thanks in Advance,The Cat.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mjin kuna mamboo
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The Boss come this way and give your take. Sauti yake ni kama ya mchuchu flani hivi nayemjua.....
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wanajamvi. . . Kuna kitu kimoja kikibwa ambacho kuna haja ya kukitafutia muafaka, , ,si kingine, ila ni kipi kinacho mu'influance Mtu kuangalia filam kati ya story au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Manny Pacquiao aamua kukamata attention ya wapenzi wa masumbwi ulimwenguni kote. Atoa Nyimbo / video akiimba kwa hisia kali...yenye vionjo vya kutia moyo wafilipino waishio katika maisha magumu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
napenda sana kuangalia maseries ..kuna madude kama HUMAN TARGET(episode ya kwanza na linaendelea) THE EVENT( hili lipo episode ya kwanza season ya kumi na linaendelea-hili dude ni aibu kama...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Leo kaachia nyimbo ake mpya nimebahatika kuisikiliza mara moja ila sijamaliza nimeipenda ghafla kwa sababu kijanaa anajua kaimba vizuri nyimbo inaitwa nitazoea nimeipend kuliko ile ya kwanza basi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom