Ukiangalia wasanii waigizaji wa sinema wa nje uwa wanaongea taratibu na wanaeleweka vizuri tu yaani movie hazina makelele na huwezi kuona wakipayuka hovyo hovyo.
Hii ni tofauti na wasanii wetu...
Wana jamvi, kama kuna mtu mwenye wimbo wa ndugu Che Mundugwao (marehemu kwa sasa, RIP) aniwekee/atuwekee hapa angalau tuburudike na kumuenzi Mwenzetu huyu. nimetafuta kwenye source zote nimekosa...
Habari zenu wana-JF,
naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye audio ya wimbo wa kimakonde 'kila munu ave na kwao' anielekeze jinsi ya kuupata au aniwekee hapa niweze kuu download.
Natangulza shukran...
Salaam wadau...!.
Kama mada inavyosema wadau naomba mnisaidie jina la huu wimbo please.............ni soundtrack toka kwenye Final Destination IV.
Nimejaribu ku-convert to mp3 ili muweze...
Mida hii imetokea nasikiliza kipindi cha Hizi Nazo ya Redio One Stereo.
Huyu mchambuzi Rajabu Zomboko ana data za kutosha kuhusu muziki, hasa zamani.
Nasikiliza anamuelezea jabali la muziki...
Nilikua sijui kama waturuki waku vizuri kiasi hiki kwenye mambo ya Tamthilia.
Kwangu mimi hii ni tamthilia bora kabisa, hongera TV 1 tz kwa burudani hii!
Habari Tycoons na Mogul wa Muziki,
Nime-attach wimbo hapa kwa yeyote anayeujua anitajie jina lake,nautafuta sana hii audio clip niliu-record redioni ulipopigwa.
Thanks in Advance,The Cat.
Habari ya muda huu wanajamvi. . .
Kuna kitu kimoja kikibwa ambacho kuna haja ya kukitafutia muafaka, , ,si kingine, ila ni kipi kinacho mu'influance Mtu kuangalia filam kati ya story au...
Manny Pacquiao aamua kukamata attention ya wapenzi wa masumbwi ulimwenguni kote.
Atoa Nyimbo / video akiimba kwa hisia kali...yenye vionjo vya kutia moyo wafilipino waishio katika maisha magumu...
napenda sana kuangalia maseries ..kuna madude kama HUMAN TARGET(episode ya kwanza na linaendelea) THE EVENT( hili lipo episode ya kwanza season ya kumi na linaendelea-hili dude ni aibu kama...
Leo kaachia nyimbo ake mpya nimebahatika kuisikiliza mara moja ila sijamaliza nimeipenda ghafla kwa sababu kijanaa anajua kaimba vizuri nyimbo inaitwa nitazoea nimeipend kuliko ile ya kwanza basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.