Na huwa inatoka muda wowote tu au kipindi gani mkuu ?.
Na producers ni tofauti au same producer ?.
Perfomance je ?.
Mixtape ni mkusanyiko wa nyimbo kwny cd au kanda moja.... yani nyimbo ambazo zina idea tofauti...kwamba jina lake linaweza lisisadiki yaliyomo kila nyimbo inajieleza yenyewe.... mfano mwenge to kiwalani au ile ya wakazi.... kwa kawaida huwa zinatokaga bure jst for watu tu kupata mziki wako... na unaweza kusampo beat bila mwny beat kumind kwa sababu haiuzwi... ila pia unaweza kuuza ila zinakuwaga sio bei sawa na zile za album... huwa bei inakua less
Mixtape Huwa hawauzi na wala msanii hafaidiki na chochote kwenye mixtape
Ni kweli mkuu hili suala...
Hata akipafom kwa huo wimbo mkuu ?.