Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Niaje wana JF, Mwana wenu karudi tena. Kama ilivokua kwa wimbo wa Mwana, JF ndo ilikua ya kwanza kuupata kupitia mimi basi nimeona nisiwe mchoyo niwape tena huu wa Chekecha Cheketua...
5 Reactions
305 Replies
56K Views
Habarini.wadau naomba msaada nawezaje ku download Nigerian movies ambazo ni latest nimejaribu kutumia you tube ku download lkn zinakuwa hazipo in format nzuri kwa mfano kipande cha party one...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,
2 Reactions
28 Replies
6K Views
50,000 Tshs, 100,000 Tshs VIP 1,000,000 Tshs VIP table plus 4 tickets & drinks coupon, 3,000,000 Tshs VVIP table plus 8 tickets & one million drinks coupon Kwa viingilio hivi zomeazomea sijui...
6 Reactions
111 Replies
19K Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
muziki wa bongo fleva ndio kwa asilimia kubwa unaua vipaji vya mamilioni ya wanafunzi nchini kupata elimu.siku hizi kila mwanafunzi awe wa primary,sekondari, wanafeli mitihani au wanashindwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa hii series nilisikia mwezi wa 4 ndio inatoka mbona sasa mwezi unakata tu hakuna kitu? Nani anayo kama ishatoka?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni moja ya Best Opera/Tv Drama ambazo nmewah kuziona ukiziweka na desperate house wives, devious maids n.k nimefanikiwa kuina season one mpaka episode ya 26 nyingnine nimezisaka sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iliripotiwa kuwa Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni ililikabidhi suala la utata wa Miss Tanzania 2014 kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili kufanyiwa uchunguzi. Pia ilidaiwa kuwa BASATA...
3 Reactions
112 Replies
9K Views
wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana. ...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Bila kuweka mbwembwe ambazo mara nyingi huharibu muziki badala ya kuboresha,ningependa watu kama Twanga pepeta na albamu zao kama Kisa cha mpemba,Ukubwa jiwe nk zirekodiwe upya maana ni nyimbo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
​for me these are the best of the best;they are not classics per-se its a mixture of CLASSICS,JAZZ,BLUES AND ROCK AND ROLL .kwa wale wadau endelea kutupia nyingine what a wonderful...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Kwa wale wapenzi wa Fast & Furious ambao hawakuwa na uhakika kama itaendelea. Jana Vin Diesel ame-confirm fast8 itakuwa in theaters April 14, 2017. Tukae mkao wa kula japo naona mbali kinoma.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Fast & Furious 7 becomes quickest film ever to reach $1bn globally Fast and Furious 7 led the US box office over the weekend for the third consecutive week, scoring another $29.1m (£19.5m) to...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Unahisi kwanini filam za kitanzani sio bora kama hollywood au nollywood?
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Habari gani wadau wa Jukwaa hili! Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo; A. PEPE KALLE 1...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii video ya sophia ya ben pol mnaichukuliaje wadau
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa series hebu niambieni mnaona nini kinaweza kua ni common kwa waigizaji hawa 1.Lagnar Lothbrok(vikings) 2.Demon(vampire dairy) 3.T-bag(prison break) ⁴.Flok(vikings)
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom