Mambo ya muduara nigh Nyumbani Lounge JANA

Mambo ya muduara nigh Nyumbani Lounge JANA

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,473
Reaction score
757
Ilikuwa ni rahaa mpaka basi pateni mapichaaaaa

IMG_1709.JPG
IMG_1691.JPG
IMG_1692.JPG
IMG_1696.JPG
IMG_1697.JPG
IMG_1688.JPG
IMG_1717.JPG
 
kizazi hiki!!!!kazi kweli kweli!!!!!hapo wengi wanatumia ARVS kama EFUREMU KITUTA!!!!
 
Mbona watu wachache sana? Au Nyumbani Lounge ndio kwishney!!
 
Mbona watu wachache sana? Au Nyumbani Lounge ndio kwishney!!


Mie naona wakiwa wastan ndo hua bora.... Watu wakisheni saana hata u-quality wa mahala hupungua....
 
Mie naona wakiwa wastan ndo hua bora.... Watu wakisheni saana hata u-quality wa mahala hupungua....

Pamechoka sana,hata huduma ziko hovyo tofauti walivyoanza.Viti vimeanza kufumuka service duni hasa vyakula.Nilimuambia muhudumu vitu vya kubadlisha na huduma kuwa duni,kadri siku zinavyozidi wateja wanapungua sana.
 
soon gadna, atafunguliwa thread! Kwamba ni b.....b......a. Lets pray!
 
Mara nyingi pombe ni kwa ajili ya kumuaibisha mwanaume.



Na ndio maana Mchambuzi.... IMO mwanaume wa kweli anajua limit ya kiasi cha pombe ambacho kinamfaaa..... Hio picha ni aibu kwa kweli, hua nawaponda saana watu wanaoponda watu maarufu kwa mistakes za mastaa, But this is beyond na naungana na hio group.

Do you mind nikikuuliza kitu?
 
Hii picha ndo David Cameroon anazitaka tumtumie ili atupe misaada !!!!1



hahahaha.... Mopaozi are you saying Habbash hio picha ughaibuni itatuletea mapato kwa taifa? lol (God Forbid!)
 
Back
Top Bottom