Kwa mwana JF yeyote mwenye nyimbo za Emmanuel Nkulila na mwenye roho nzuri ya kusaidia wengine naomba anitumie nyimbo hizo inbox. Usinitumie link tafadhali, nitumie clips. Natanguliza shukrani...
Hii muvi ni muendelezo wa sehemu 7 kuanzia part1 iliyotoka 2004 na kuendelea hadi kufika part7 ni muvi iliyojaa ubabe,vitisho na mauaji ya kutisha!
stori ya hii muvi haiko katika part 1 hivyo hadi...
Hello habar za leo plz...naomba ur support kwa kushare ktk socialnetworks zako[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Coming Soon @pamdofficial Ft...
Habari wanajamvi, ukisikiliza redio zetu na ukiangalia luninga zetu, mziki unaochezwa na ambao ni kivutio kikubwa kwa rika zote japo sio kwa asilimia mia, hauna chembe ya juhudi ya kututoa tulipo...
Nianze kwa kusema nilianza kulijua jina la Jean Claude Van Damme baada ya kumwona akiigiza katika filamu ya No Retreat, No Surrender aliyoigiza mwaka 1986.
Baada ya kuigiza picha hiyo Van Damme...
The Big Brother housemates shocked viewers with the sexual activity, with some complaining to Ofcom
Fans claimed scenes from the Channel 5 show were 'pornographic'
Marco's fiancée Kim...
Kili Music Awards mwaka huu kimya sana, miaka mingine washiriki huanza kutangazwa mapema ila mwaka huu mpaka leo mwezi huu wa sita unakwenda wa saba sioni dalili zozote za kuwepo kwa hizo tuzo...
waimbaji ni ADONAI GOSPEL SINGERS
jina la wimbo ni SITOSAHAU HURUMA ZA BWANA au HURUMA ZA BWANA
Unaweza ukau-attach apa kwenye thread au ukani-email via hewizet@gmail.com
ahsanteni
jaman wa jamvi nani anaweza kunisaidia nikapata hii kitu ya second chance kwenye English version na isiwe kwenye cd zile za alibaba!
mwenye msaada anisaidie ndugu zangu naipenda sana hii kitu
Huyu Jamaa anaitwa Bileku mpasi au djuna mumbafu,alikuwa ni rapa wa marehemu pepekalle.Mara ya mwisho kumsikia ni pale alipotoa Album yake kwa jina la djuna one,toka hapo sijamsikia tena Mwenye...
Wimbo wa Ray Vany (Natafuta Kiki) ni MWIGO. Haustahili sifa unazomwagiwa.
Na: Gasto Di Genaro
Ray Vany ni msanii mchanga anaekuja kwa kasi sana kutoka kwa Lebo ya WCB.
Ray hadi wakati huu...
Muongozaji mahiri wa filamu nchini Marekani, Mel Gibson amepanga kuja tena na muendelezo wa filamu yake ya mwaka 2004, The Passion of the Christ.
Screenwriter Randall Wallace aliyeandika filamu...
Take it easy with me, please
Touch me gently like a summer evening breeze
Take your time, make it slow
Andante, Andante
Just let the feeling grow
Make your fingers soft and light
Let your body...
Kwa wale wadau wa ukweli wanaoenda kusikiliza music toka kwenye systems za ukweli kuanzia receivers, speakers, home theatres, headphones nk naomba tukutane hapa tushauriane kuhusu vyombo hivi...
Msanii maarufu wa nigeria, Tiwa savage amesaini na kampuni ya kurekodi na kusimamia wasanii ya Roc Nation Ya Jay Z. Deal Hilo pia lilishuhudiwa na bosi wa Mavin Records, Don Jazzy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.