Wapi mtu anaweza jifunza muziki kwa hapa Dar

Wapi mtu anaweza jifunza muziki kwa hapa Dar

Joined
Jul 1, 2016
Posts
52
Reaction score
33
Wazee mambo vip! Ukiachana na bagamoyo ni chuo gani kingine mtu anaweza enda kujifunza muziki Kwa hapa dar es salaam? Na gharama sake zinakuwaje?
 
Wazee mambo vip! Ukiachana na bagamoyo ni chuo gani kingine mtu anaweza enda kujifunza muziki Kwa hapa dar es salaam? Na gharama sake zinakuwaje?

Fafanua kidogo boss mziki wa aina gani? Binafsi najua sehemu wanapofundisha namna ya kupiga vyombo vya mziki.
 
Unataka kujifunza kupiga vyombo vya muziki au namna ya kuimba??? Ila Kama unaweza nenda Bagamoyo, Kama hutaki long course wana short courses za miezi 3 au 6, halafu fulsa kibao za nje! Kupitia Sanaa....!
 
Wazee mambo vip! Ukiachana na bagamoyo ni chuo gani kingine mtu anaweza enda kujifunza muziki Kwa hapa dar es salaam? Na gharama sake zinakuwaje?

Madale kwa " dimonde " na gharama yake ni nauli yako tu ya to and from.
 
Back
Top Bottom