Nahitaji nyimbo za mobb deep, KRS One, Immortal technique, EPMD, Wutang, Mossdef, Talib kweli, canibus, Pac, big, tribe called quest, Guru Ganstrar, Rakim, na wengineo lkn old sch hip hop...
Kuna harus hapa mtaani kwetu wanapiga singeli hizo bit zina ujazo mkubwa sana ni balaa.
Nliangalia uswaz kipind cha zembwela uswaz kuna jamaa alikuwa anatengeneza bit sasa ukichek vifaa vilikuwa...
ni baada ya kufanikiwa kuwadhibiti kabisa kina mbowe na kundi lake kule bungeni hatimae sasa mheshmiwa naibu spika akishrikiana na wabunge wenzie wanaotoka wilayani rungwe mkoa wa mbeya...
Haya jamani zile club maarufu hapa wilaya Kinondoni baada ya kufanya ukarabati kiingilio sasa hivi ni bure.
Ambiance na Kangaroo ambapo mara ya mwisho viingilio ilikuwa ni buku tano hadi kumi...
Video Released in June 2016
Queen of The Best Melodies Isha Mashauzi - Jiamini
Genre: Rhumba & Tara-Dance
Song: Jiamini
Artist: Isha Mashauzi
Studio: Dreams Multmedia Studios
Country: Tanzania...
Kuna wimbo mmoja unaeleza habari ya Elisha alipo kwenda mto Yordani kukata kuni akiwa na watumishi wa Mfalme, ndipo shoka la mtumishi mmoja lika dondokea majini, lakini Elisha akatupa kijiti...
Hello,Attitude is a state of mind on which depends our actions in life and hence our course of life.So We have shared different types of funny attitude status that you can share on whatsapp or...
Hi,
mashabiki wenzangu wa movie leo tujikumbushe stori ya muvi ya apocalypto iliyoteka hisia za wapenda muvi!
Hii ilitoka mwaka 2006 muongozaji ni mel gibson pia ni writter wa hii muvi kali ya...
Akiongea na mtangazaji Paul Thomas kwenye kipindi cha Kingstone Riddimz cha Safari FM ya Mtwara, Dabo alisema kuwa kuna baadhi ya redio huwezi kusikia muziki wa reggae zaidi ya kwenye kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.