Nahisi kati ya nyimbo zote zilizokua relized mwisho wa mwaka huu Justine kajitahidi sana kurudi vizuri kwa "Purpose"
Nlikua na mashaka kwamba ujio wake mpya unaweza kubuma lakini zote zimekua...
Hebu mchek huyu jamaa eti..
Bora nikose pesa maLi/
Jumba gari, niwe na wee/
Nifanye kazi bila saLary/
Yote heri niwe nawee/
yani hapo mnalala nje na hamli..Obvious no survivaL, no Love...
wanajamiiiii msaada tutani.....kwa anayeijua nymbo mpya ya alice saseni aniambie,, naiskiaga tu ikipigwa clouds ila sijaijua inaitwaje nataka download...plzzz!!!!
Kama mjuavyo hasa kwa wakazi was dar!
Jana huyu kijana kadondosha show ya maana kabisa kuwahi kutokea,.... ningekuwa nimemaliza kula nyama ningeomba kijiti cha kujichokonolea.
Jamaa yupo...
Nnaplan ya kwenda swimming sehemu nzuriiiii kama ramada au ledger plaza au double tree sitaki coco nilizozoea nikabarizi na mdada flani hivi ila sitaki nifike pale nitoe macho kiingilio, kwani...
wasalaam wakuu, heri kwenu nyote, mm ni mdau wa muzik, ila ndo walee wa "shabik anaban nyimbo, na show anaingia free" hahaha, wakuu nimekuja jamvini mnisaidie kuna wimbo ameimba JOSE MTAMBO...
Nice one from the homeboy. Safe to say Joh is second to no one in Bongo, when it comes to word-plays. Tight deliverance, tight beat, tight hook, tight verses, tight video, tight everything. 9/10.
Hapo kitambo sanaa ya uchoraji ilikuwa juu sana.Hebu tukumbushane ni katuni gani uliipenda,iliitwaje na ilichorwa na mchoraji gan,mfano:CHAKUBANGA-Christian Gregory.
My favorite HOLIDAY song being sung by my favorite singer.
-He is amazing.
???????????????
=What a voice that only gets better with each performance.
NB:MY FAVORITE HOLIDAY SONG IS JE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.