Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nahisi kati ya nyimbo zote zilizokua relized mwisho wa mwaka huu Justine kajitahidi sana kurudi vizuri kwa "Purpose" Nlikua na mashaka kwamba ujio wake mpya unaweza kubuma lakini zote zimekua...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hebu mchek huyu jamaa eti.. Bora nikose pesa maLi/ Jumba gari, niwe na wee/ Nifanye kazi bila saLary/ Yote heri niwe nawee/ yani hapo mnalala nje na hamli..Obvious no survivaL, no Love...
0 Reactions
3 Replies
827 Views
wanajamiiiii msaada tutani.....kwa anayeijua nymbo mpya ya alice saseni aniambie,, naiskiaga tu ikipigwa clouds ila sijaijua inaitwaje nataka download...plzzz!!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naona musik huu umedorora sana hapa nchini umepatwa na nini jamani mbona huku kitaa hatusikii tatizo nini?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Redirect
mie ni mpenzi wa hizi tamthlia hasa "no greater love" "bridges of love". Karibuni wakuu..!
0 Reactions
Replies
Views
Kama mjuavyo hasa kwa wakazi was dar! Jana huyu kijana kadondosha show ya maana kabisa kuwahi kutokea,.... ningekuwa nimemaliza kula nyama ningeomba kijiti cha kujichokonolea. Jamaa yupo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nnaplan ya kwenda swimming sehemu nzuriiiii kama ramada au ledger plaza au double tree sitaki coco nilizozoea nikabarizi na mdada flani hivi ila sitaki nifike pale nitoe macho kiingilio, kwani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naona mabadiliko yanaingia katika filamu za kibongo. Azam Naona hapa kupitia Chanel Yao 103 wanaonyesha premier ya Homecoming. Haya Ni mabadiko...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Bonge ya ngoma by legendary mwana fa,,mwenye nayo tafadhali aiweke link hapa wadau mana nimeitafuta net nmeikosa
0 Reactions
0 Replies
948 Views
wasalaam wakuu, heri kwenu nyote, mm ni mdau wa muzik, ila ndo walee wa "shabik anaban nyimbo, na show anaingia free" hahaha, wakuu nimekuja jamvini mnisaidie kuna wimbo ameimba JOSE MTAMBO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nice one from the homeboy. Safe to say Joh is second to no one in Bongo, when it comes to word-plays. Tight deliverance, tight beat, tight hook, tight verses, tight video, tight everything. 9/10.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu,wapi kuna Live Band Leo Arusha Mjini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mdada kiukweli amekuwa conflict ndani na nje ya taarab kwa twabia yake mbaya ya kuimba rumba na kudai ni taarab
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hapo kitambo sanaa ya uchoraji ilikuwa juu sana.Hebu tukumbushane ni katuni gani uliipenda,iliitwaje na ilichorwa na mchoraji gan,mfano:CHAKUBANGA-Christian Gregory.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
My favorite HOLIDAY song being sung by my favorite singer. -He is amazing. ??????????????? =What a voice that only gets better with each performance. NB:MY FAVORITE HOLIDAY SONG IS JE...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Mkongwe Balozi Dola Sol kutoka DeplowMatz leo nimeikumbuka hii Documentary yake fupi, Bongo Barber Shop.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hatimaye mpiga kinanda maarufu wa jahazi taarab, khalid kichupa amepata jiko na ndoa imefungwa wiki hii.kila la kheri
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni ile bendi inayokuja kwa kasi east africa ikiwa chini ya malkia khadija omary kopa aka mamaa mukubwa hapa kazi @tu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom