Video ipi mpya unaikubali iliyotoka hivi karibuni?

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
823
Katika video mpya zilizotoka karibuni ipi unaukubali zaidi?
(a)Jux-Wivu
(b)Roma-Kaa tayari
(c)Joh Makini-Perfect combo
(d)Diamond Platnumz-Kidogo
1468666202331.jpg
 
pesa madafu
Alosto
baga, self
usiende mbali
Aje
kidogo

Jamani ni swali , nini kigezo cha video kupigwa sound city top ten east ? maana video za weusi , navy kenzo , wasafi , shilole , Vanessa , ommy dimpoz, ben Paul zikitoka tu lazima ziingie topten wakati kuna video zingine Kali kabisa bongo hazipigwi pale why? mfano pesa madafu haijagusa pua pale
 
Mtazamo wangu-Gregoire
Nini tufanye-Gregoire
muda si mrefu nitawawekea link mpakue wana jf. Simu imeishiwa charge
 
Video ya Kidogo ya Diamond ft P-Square iko poa zaidi.

Kingine, hivi mbona midundo ya huu wimbo wa Perfect Combo wa Joh Makini na Chidinma kwa kiasi kikubwa sana inafanana na ile iliyo katika wimbo wa Wasiwasi wa Mapenzi wa Stara Thomas? Au labda mimi ndiye nausikiliza tofauti.
 
Back
Top Bottom