Aliyekuwa Rapa maarufu wa Bendi Bora zaidi nchini Congo ya WENGE MUSICA BCBG inayoongozwa na JB Mpiana Kikongo wanaitwa ATALAKUS Kijana aitwae Katemo Vanga CELLULAIRE amefariki dunia jana huko...
"Najua wajua nami nakujuza wewe unayetaka kujua mengi ya dunia, kama ulikuwa hujui nguvu ya "uimbaji" basi hii inakuhusu.
"Victor Ivanovich nikitin huyu ni askari ambaye wakati wa vita vya pili...
HADITHI YA NYUMBA YA DHAHABU
Kulikuwa na binti mdogo aliyeishi kwenye nyumba ndogo tena katika maisha duni. Nyumba hiyo ilikuwa imejengwa juu ya mlima ambapo binti huyo alikuwa na uwezo wa kuiona...
Image copyrightGETTY
Image captionEd Sheeran, 25, akiwa na mashabiki
Wimbo wa mapenzi wa mwanamuziki wa Uingereza Ed Sheeran unaongoza kwa kupendwa sana na watu kama wimbo wa kufungua jukwaa...
Kama kawaida anayejua bado anaongoza kwenye shindano la African NAFCA. Yaani categories zote 3 ni Kiba, Kiba mara Kiba.
Kila siku mi nasema hakuna simba anaeishi mjini labla awe anafugwa so...
[Intro]
Eeeh
P-Square and Diamond
Wasafi
[Pre-Chorus]
Kidogo dogo (aah kidogo kile)
Kidogo dogo (aah kidogo kile)
Kidogo dogo (aah kidogo kile)
Kidogo dogo
[Hook – Diamond Platnumz & P-Square]...
Habari wadau ,
Leo kwenye clouds radio kipindi cha xxl wametangaza slogan au msemo mpya utakaotumika kwenye kampeni yao mpya ya fiesta 2016,,. Slogan hiyo mpya ni IMO , HATUSHINDWI...
Diamond Platnumz
IMELDA MTEMA NA GABRIEL NG’OSHA
DAR ES SALAAM: Polisi wenye silaha hivi karibuni wali ka nyumbani kwa msanii nyota, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayeishi Mivumoni Madale na...
Kwa kila industry kuna watu ambao ndo ma-Godfather wa industry hiyo.
Mfano,ujasiriamali lazma umtaje Mo,Mengi na akina Ngowi.Vivyo hivyo kwenye mitindo kuna akina Flavy,jojo,Kadinda n.k...
Mambo,
Redio ya watu sasa inaburuzwa na E-Fm baada ya utafiti kuonyesha taarifa za takwimu namna ya watu wanavyosikiliza radio mbalimbali jijini Dar es Salaam.
I love this game.. Very interesting and addictive b'cause it upset you in position as a manager that can build a great squad by selling & buying players
za leo wana JF.
natamani kuskia hadith na story kuhusu show za wanamuziki wa kitambo kabla hata sisi wakizazi cha 1990 hatujazaliwa.
binafsi niko in love sana na nyimbo za zaman nikisikiliza...
Naam,ile ngoma iliyokuwa tukiisikia kwamba itatoka hatimae Leo imetoka rasmi tar 12 Julai 2016.
Ngoma inaitwa KIDOGO, msanii kutoka BongoLand Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz...
Bongo fleva singer, and hitmaker of "Aje" Ali Kiba has made what many his fans wish him to do, In his performance in Nairobi , Kenya he was among the performer who made $exy Kenyan ladies so...
Msanii Barnaba akiimba kiitikio (chorus) kwenye wimbo wa "Nikutunze" ambao ameshirikiana na José Chameleon alidanganya maana ya kile alichoimba Na kutafsiri nanukuu "wachaga tunasema aika mbe...
Habarini wakuu!,
Nilipokuwa safarini leo kutoka Mbeya kuelekea Iringa kwenye basi kuna movie iliwekwa dakika chache kabla sijashuka inaitwa Wolf warrior ilinivutia saaana. Jaman naomba msaada kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.