Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Aliyekuwa Rapa maarufu wa Bendi Bora zaidi nchini Congo ya WENGE MUSICA BCBG inayoongozwa na JB Mpiana Kikongo wanaitwa ATALAKUS Kijana aitwae Katemo Vanga CELLULAIRE amefariki dunia jana huko...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
"Najua wajua nami nakujuza wewe unayetaka kujua mengi ya dunia, kama ulikuwa hujui nguvu ya "uimbaji" basi hii inakuhusu. "Victor Ivanovich nikitin huyu ni askari ambaye wakati wa vita vya pili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HADITHI YA NYUMBA YA DHAHABU Kulikuwa na binti mdogo aliyeishi kwenye nyumba ndogo tena katika maisha duni. Nyumba hiyo ilikuwa imejengwa juu ya mlima ambapo binti huyo alikuwa na uwezo wa kuiona...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Image copyrightGETTY Image captionEd Sheeran, 25, akiwa na mashabiki Wimbo wa mapenzi wa mwanamuziki wa Uingereza Ed Sheeran unaongoza kwa kupendwa sana na watu kama wimbo wa kufungua jukwaa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kama kawaida anayejua bado anaongoza kwenye shindano la African NAFCA. Yaani categories zote 3 ni Kiba, Kiba mara Kiba. Kila siku mi nasema hakuna simba anaeishi mjini labla awe anafugwa so...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
[Intro] Eeeh P-Square and Diamond Wasafi [Pre-Chorus] Kidogo dogo (aah kidogo kile) Kidogo dogo (aah kidogo kile) Kidogo dogo (aah kidogo kile) Kidogo dogo [Hook – Diamond Platnumz & P-Square]...
17 Reactions
155 Replies
29K Views
Habari wadau , Leo kwenye clouds radio kipindi cha xxl wametangaza slogan au msemo mpya utakaotumika kwenye kampeni yao mpya ya fiesta 2016,,. Slogan hiyo mpya ni IMO , HATUSHINDWI...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Diamond Platnumz IMELDA MTEMA NA GABRIEL NG’OSHA DAR ES SALAAM: Polisi wenye silaha hivi karibuni wali ka nyumbani kwa msanii nyota, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayeishi Mivumoni Madale na...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kiukwel kuna muda napitia mambo magumu sana lakini nikimsikiliza huyu jamaa kuna amani inakuja juu yangu nami naamini mungu ana mpango nami.
0 Reactions
2 Replies
873 Views
[emoji12]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kila industry kuna watu ambao ndo ma-Godfather wa industry hiyo. Mfano,ujasiriamali lazma umtaje Mo,Mengi na akina Ngowi.Vivyo hivyo kwenye mitindo kuna akina Flavy,jojo,Kadinda n.k...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo, Redio ya watu sasa inaburuzwa na E-Fm baada ya utafiti kuonyesha taarifa za takwimu namna ya watu wanavyosikiliza radio mbalimbali jijini Dar es Salaam.
3 Reactions
18 Replies
4K Views
I love this game.. Very interesting and addictive b'cause it upset you in position as a manager that can build a great squad by selling & buying players
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ndiyo show ya Diamond ambayo kulikuwa mpaka na viingilio vya tshs laki moja!!
1 Reactions
10 Replies
3K Views
za leo wana JF. natamani kuskia hadith na story kuhusu show za wanamuziki wa kitambo kabla hata sisi wakizazi cha 1990 hatujazaliwa. binafsi niko in love sana na nyimbo za zaman nikisikiliza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naam,ile ngoma iliyokuwa tukiisikia kwamba itatoka hatimae Leo imetoka rasmi tar 12 Julai 2016. Ngoma inaitwa KIDOGO, msanii kutoka BongoLand Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bongo fleva singer, and hitmaker of "Aje" Ali Kiba has made what many his fans wish him to do, In his performance in Nairobi , Kenya he was among the performer who made $exy Kenyan ladies so...
0 Reactions
24 Replies
14K Views
Msanii Barnaba akiimba kiitikio (chorus) kwenye wimbo wa "Nikutunze" ambao ameshirikiana na José Chameleon alidanganya maana ya kile alichoimba Na kutafsiri nanukuu "wachaga tunasema aika mbe...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habarini wakuu!, Nilipokuwa safarini leo kutoka Mbeya kuelekea Iringa kwenye basi kuna movie iliwekwa dakika chache kabla sijashuka inaitwa Wolf warrior ilinivutia saaana. Jaman naomba msaada kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom