E-News Kipindi bora cha Luninga

E-News Kipindi bora cha Luninga

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,909
Reaction score
15,950
Kwa vipindi vinavyoruka kilasiku hiki ni kipindi bora zaidi kwangu cha masuala ya burudani, kuanzia Graphics, Background natural anayoitumia host na Content kwa ujumla, ukikiangalia huwezi kuboreka kwakweli. Najua mtakuja kucoment kwamba hii ni kiki, Sam Misago simjui hanijui ila hapa ameweza yeye na timu yake. Tutegemee kuibuka vipindi vingi vya style hii kwenye TV nyingine...
 
EATV wanafanya kazi Ki-Professional, kwa TV za burudani hakuna wa kuwalinganisha hapa nchini. Wanafanya vizuri na wanahitaji sifa kwa kweli, haichoshi kuitazama EATV kuanzia asubuhi hadi jioni.
Hawa jamaa kwakweli wamebobea kabisa wana vipindi vizuri sana...
 
Watu mnaanzisha katopic ka kijipa promo afu mnapeana comment ninyi wenyewe...ahahaa
 
EATV wanafanya kazi Ki-Professional, kwa TV za burudani hakuna wa kuwalinganisha hapa nchini. Wanafanya vizuri na wanahitaji sifa kwa kweli, haichoshi kuitazama EATV kuanzia asubuhi hadi jioni.
Kweli kabisa hasa madj wao wavyopanga mziki kuanzia asubuhi mpaka jion huchoki kuicheki
Napenda na jingle zake za beat za muziki yaani wakitoa jingle mpya kuna wakati unaiimba kabisaaaa
Sijui kwann Dstv hawaweki kwakweli hawa watu
 
Enewz bado anatangaza dominic Nyalifa au kuna mwingine mana siaangalia siku mingi
 
My favourites Segments ni Checheeee pamoja na ile ya KKM(kutoka kwenye mitandao).
Jamaa wako vizuri
 
Daah basi kimenoga zaidi

Dstv plz jiongezeni mnatunyima uhondo wa kunyumba mweh
Tafuta kiingamuzi cha startimes kwajili ya local channels tu unakuwa ulipie wala nn me ndicho nilichofanya nalipia dstv tu startimes nacheki za kibongo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom