Bongo fleva artist, Ali Kba has arrived in Nairobi, Kenya. Ali Kiba who is in Kenya for the Big Show happening tomorrow, In this show including Musicians from Kenya and many celebs who are famous...
Jamani kiukweli huyu kaka mkubwa namuelewa sana.
Ana kipaji kikubwa sana. Ni mtunzi na muimbaji mzuri sana, vitu ambavyo wasanii wetu wengi hawanavyo. Labda inaweza ikawa ni mimi tu nionaye hiki...
Bongo flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira...
NGOMA MPYA YA NIKKI MBISHI FT BECKA TITLE Official Music Video.
TAMADUNI MUSIC FOREVER.
The Hip Hop Artist From Tanzania Nikki Mbishi Drops A New Video 'Kwanini Mimi' Which Features A Tanzanian...
Hilo halipingiki kuwa New World Order haiwez kukwepeka hata kidogo hata huyu agent mkubwa sana wa freeemason anajua hilo hasa katika wimbo wake huu wa famous kuna mambo mengi sana yaliyoongelewaa...
kuna huu wimbo wa kitambo sana unaimba
we nenda tu we nenda tuu
moyoni unanichoma
ondoka wewe nenda
usije nletea ngoma
aaa we nenda tuu...
kaimba nani na unaitwaje
Habari wanaburudani, kuna nyimbo ya Fat Joe na Remmy Ma inaitwa All Way Up wadau wa mziki wa kufokafoka watakuwa wameshapata kuisikia.
Hii nyimbo imekuwa ikirudiwa na wasanii tofautitofauti...
Wadau kuna wimbo huwa --------- kama sound track kwenye kipind cha orijinal comedy ya akina Masanja pale kwenye category ya Ze professeri. Najua kuwa ni wimbo wa Lokua kanza mwanamuziki wa Congo...
Moja ya nyimbo nzuri za rnb singer ben paul
Huu wimbo mi nauona watofauti coz
1)hii nyimbo tangia itokee haija chujaa masikioni kwangu ukilinganisha na nyimbo nyingine hua na choka kusikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.