Jambo Unalolipenda na Kulitumikia Lina Uhusiano wa Moja Kwa Moja na Kifo Chako
MUNGU ni wa ajabu. Ajabu yake inakamilishwa na yaliyomo ulimwenguni, ikiwemo yanayoonekana na yale ya...
Habarini wadau.
Kuna series inaitwa "Road to Destiny" au kispain wanaiita "Un Camino Hacia El Destino" kwa watazamaji wa Capital TV watakuwa wanaifahamu vizuri.
Ninachoomba anayefahamu website...
Kwa wale wapenzi wa game za mortal combat hii inawahusu sana. Ninatafuta game ya Project IGI 3 na 4, pia nahitaji game ya call of duty.
Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane.
Leo ni upande wa pili wa stori ya jana. Je hapa muziki wa Tanzania unaelekea kwenye njia sahihi au ndo tumepata njia sahihi ya mteremko kuelekea shimoni?
Wakuu,
After fat joe released im all the way up ft. French montana na Remy, alot of 'em cats waliguswa na ile beat (sijui mkono wa nani ule) which led to many various artists kufanyia freestyle on...
Wakuu naomba mnisaidie kujibu swali hili ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa kipindi kirefu sana.
Nimekuwa nikiona wasanii wakishindana kuongeza idadi ya viewers wa video zao youtube, nikawa najiuliza...
Habar wadau wa pande hizi za Entertainment
Nina jamaa yangu mmoja ana talent ya kuimba hasa kurap na amekwisha toa single moja siku chache zilizopita.
Sasa anahitaji msaada ili iweze kusikika...
Takribani nyimbo mpya kama ya Darasa, Mwana Fa na nyingine ya Stamina zimetambulishwa siku za hivi karibuni lakini hazijapata mapokezi mazuri kwa mashabiki kutokana na asilimia kubwa ya mashabiki...
Licha ya maneno mengi YA watanzania na mashabiki Uchwara wakimponda Mrembo wetu miss Tanzania 2016 Diana Edward kimsingi mimi #kijanamzalendo ni Miongoni mwa watu ambao ninamkubali na kumpenda...
Hivi hawa wanaojiita madirector waliotukuka wanaofuatwa bondeni kweli kabisa wamekosa ubunifu?? Angalia copy and paste hapa
Alianza Harmonize na Bado yake akacopy kila kitu kutoka Stupid Love wa...
Niliposikiliza huu wimbo wa Usisahau wa Timbulo nikajua Kassim Mganga katoa Remix ya Haiwezekani, yaani Timbulo, Baraka na producer wao wote wamepita mulemule
Jamani Clouds Fm mnaboa sana. Huu mziki wa singeli sijafaham mnaupendea nini? Maana hauburudishi wala kuelimisha. Yaani ni kelele tu hadi napata ukakasi nakubadili stesheni redio.
Wakuu...
kuna wimbo huu ameimba Mchungaji Faustin Munishi nimejaribu kuutafuta mtandaoni nimeukosa ila maneno yake yako hivi...
"mokozi iiii Yesu...Kazi nimemaliza aaah... nitume tena niende na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.