Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Leo Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali. Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi...
26 Reactions
250 Replies
46K Views
Hii ni muvi ambayo nimeitafuta sana bila mafanikio ya kuipata, kama kuna mtu anaweza nitumia download link kama IPO, au hata tu kunipa ka summary au kuadithia, naomba ajitokeze ,Asanteni
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Kokoro katika audio ni wimbo mzuri. Rich Mavoko ameonesha kuwa alihitaji sapoti kidogo afanye mambo makubwa. Baada ya kusaini mkataba na lebo ya WCB, sasa yupo tayari kutoa kila alichonacho kwenye...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
kama huwa anaangalia kipindi cha misiba TBC. utakuwa umemsikia huyu maza. Ni moja ya wasanii wa ireland waliouza sana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya kuwa kimya kwa muda huku akifanya show maeneo tofauto tofauti hatimaye Grace Matata wengi wamezoea kumuita "Guitar Girl" amerudi rasmi kwenye game kwa kuachia video na ana mpango wa...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Hivi kati ya hizi ngoma mbili ipi imeimbwa ki-ustadi zaidi kuanzia mashairi na melody tutupe ushabiki pembeni tuongee na reality kabisa Karibun jamvini
0 Reactions
2 Replies
992 Views
Habarini, Jamani mwenye wimbo wa Grace Matata FREE SOUL. Nauomba jamani ambatanisha hapa. ======
1 Reactions
34 Replies
14K Views
Wakuu natumai mpo salama salimiin. Nafikiria kwenda ki holiday cha kama 4 days hivi this december nilikua Naomba ushauri na ideas ya places nzuri za ku enjoy nje ya Dar...Note I prefer mbuga za...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Become a CCTV camera installer/Technician just by attending this short course provided by Dsat Technology. Hello! This is the event that i have been telling you about,it is near to start...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Many professionals need Dstv installer Jobs. Asides acquiring the raw knowledge and experience it's good to attend Dstv,Azam course, where you can get accredited installation training to become a...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hawa jamaa wote noma sana, wako vizuri kwenye kutengeneza nyimbo (maproducer), pia wote wako vizuri kwenye kuimba. Yupi unamkubali zaidi?
0 Reactions
38 Replies
7K Views
nilikuwa sijui kama kinyambe ni the best hivi...! ha ha ha RIP kinyambe
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wimbo mpya wa Diamond ft Neyo uitwayo marry you ambayo official release imeshaachiwa United Kingdom (UK) shiku chache zilizopita umeendelea kufanya vizuri kwenye vituo mbali mbali. Katika nyimbo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ipi ngoma kali ya kufunga mwaka 2016 Darasa ft. Ben Paul - Muziki Rich mavoco ft. Mondi - koroko
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Nyimbo zilizotoka kwa kuongozana yaani, Kokoro ya mavoko ft diamond, Mwanaume suruali ya Fa ft v money zinasubiri kwa huyu jamaa darasa. #huwezi kutembea rudi utotoni ukilia utabebwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
November 27, 2016 RIP: House and R&B vocalist Colonel Abrams has reportedly died at the age of 67 Sad news to pass along tonight, as word that pioneering house music and R&B vocalist Colonel...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyimbo mpya ya diamond ft Neyo iitwayo marry you ambayo official release imeshaachiwa United Kingdom (UK) shiku chache zilizopita imeendelea kufanya vizuri kwenye vituo mbali mbali. Katika nyimbo...
15 Reactions
49 Replies
5K Views
Nimeona watu kadhaa wakiuliza sana kuhusu horror movies, hususani majina yake. Hakuna movie nnayo angalia zaidi ya horro movie, Mara mojamoja action movies tena zile kali. Lakini kama ukiniuliza...
7 Reactions
61 Replies
10K Views
Huyu kijana katisha sana na huu ujio wake, watu kama hawa ndiyo wanatupa ladha halisi ya Bongo flava..siyo ujanja ujanja wa akina kokoro!! Download Lameck Ditto – Moyo Sukuma Damu – Mp3
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom