okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,653
Hello guys,
Hizo tuzo za eatv zingetakiwa zifanane kama zile tuzo za bet, au Grammy, I mean kuwe na mascreen makubwa, stage zinazobadilika, pamoja na ukumbi mkubwa wa kukaa thousands of people, nashangaa ukumbi unaotumika ni wa mlimani city
Sijaona kipya kwenye hii eatv awards ya mwaka huu labda waimprove mbeleni...
Hizo tuzo za eatv zingetakiwa zifanane kama zile tuzo za bet, au Grammy, I mean kuwe na mascreen makubwa, stage zinazobadilika, pamoja na ukumbi mkubwa wa kukaa thousands of people, nashangaa ukumbi unaotumika ni wa mlimani city
Sijaona kipya kwenye hii eatv awards ya mwaka huu labda waimprove mbeleni...