Nimewahi kushangaza kijiji

Nimewahi kushangaza kijiji

notoriousic

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
425
Reaction score
484
1259f29cfff5e6a3de3e2aaeacddc0c9.jpg
e42e82569bf74007327176b24910662c.jpg


Unakumbuka nini mwana JF???
Mimi nimewahi kutoa dozi kwa vijana 6 hadi nikapelekwa kupimwa akili...!!!
 
Nilikuwa na Matokeo mazuri sana Darasa la Saba kuliko Wanafunzi wote kijijini mpaka Wilayani. Nilisifiwa sana.
 
1259f29cfff5e6a3de3e2aaeacddc0c9.jpg
e42e82569bf74007327176b24910662c.jpg


Unakumbuka nini mwana JF???
Mimi nimewahi kutoa dozi kwa vijana 6 hadi nikapelekwa kupimwa akili...!!!

Dah nlkuwa nasoma sana hako kahadithi nikiweka malengo ntakuwa askari hodari.......

Umenikmbsha mbali mnoooo darasa la 5 kama sio la 4.......

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Nilikua namwandiko mzuri hadi nikawa naambiwa niwaandikie notes wanafunzi wengine ubaoni
 
Back
Top Bottom