notoriousic
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 425
- 484
Unakumbuka nini mwana JF???
Mimi nimewahi kutoa dozi kwa vijana 6 hadi nikapelekwa kupimwa akili...!!!
Hongera mkuu[emoji122]Nilikuwa na Matokeo mazuri sana Darasa la Saba kuliko Wanafunzi wote kijijini mpaka Wilayani. Nilisifiwa sana.
Nilimegwa au niliwamega??Dozi? ? Kwamba ulimegwa na vijana sita au?
![]()
![]()
Unakumbuka nini mwana JF???
Mimi nimewahi kutoa dozi kwa vijana 6 hadi nikapelekwa kupimwa akili...!!!
Safi sana[emoji23][emoji23]Nilikuwa na HATI nzuri balaa, nikiwa darasa 3 tu, niliruhusiwa kuandikia pen, BIC yangu ya kwanza nilipewa na Mwl mkuu.
Uliishia la 6 eeeeh??Tangu darasa la kwanza hadi la 6 nilikuwa nashika nafasi ya kwanza tu
Duh kipind hicho niko hot ktk hisabati na english mbayaaaanimmewahi pata 92 kiswahili std 5.
Wow!Hongera kaka yangu.Nilikuwa na HATI nzuri balaa, nikiwa darasa 3 tu, niliruhusiwa kuandikia pen, BIC yangu ya kwanza nilipewa na Mwl mkuu.
Hahaha dah eti uligawa dozi