Upendo unapimwa kwa kutoa. Mwanaume aliye kamilika kuanzia mwili na akili hawezi kuwa katika mahusiano na mwanamke bila kuwa anampa chochote. Wazo lako kwenye wimbo wako mpya...
Huyu kijana ana kipaji cha ajabu hajawahi kukosea kuanzia sikati tamaa mpaka sasa lete mziki..namuona mbali sana kijana huyu fid Q,Joh na wengine muangalieni sana uyu bwana mdogo
Wadau eti kati ya Eric Omondi na MC Pilipili nani mkali?
Najitolea kuhesabu kura na kutangaza matokeo hapa hapa..
Ukipiga kura toa sababu..
So far mimi namkubali Omondi anaweza imba pia...
message tones, best ringtones, instrumental ringtones
Colin Trevorrow directs this tale of Jaden Liberher's boy who plots to rescue his neighbour(Maggie Ziegler) from her abusive cop father (Dean...
Jambo Unalolipenda na Kulitumikia Lina Uhusiano wa Moja Kwa Moja na Kifo Chako
MUNGU ni wa ajabu. Ajabu yake inakamilishwa na yaliyomo ulimwenguni, ikiwemo yanayoonekana na yale ya...
Habarini wadau.
Kuna series inaitwa "Road to Destiny" au kispain wanaiita "Un Camino Hacia El Destino" kwa watazamaji wa Capital TV watakuwa wanaifahamu vizuri.
Ninachoomba anayefahamu website...
Kwa wale wapenzi wa game za mortal combat hii inawahusu sana. Ninatafuta game ya Project IGI 3 na 4, pia nahitaji game ya call of duty.
Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane.
Leo ni upande wa pili wa stori ya jana. Je hapa muziki wa Tanzania unaelekea kwenye njia sahihi au ndo tumepata njia sahihi ya mteremko kuelekea shimoni?
Wakuu,
After fat joe released im all the way up ft. French montana na Remy, alot of 'em cats waliguswa na ile beat (sijui mkono wa nani ule) which led to many various artists kufanyia freestyle on...
Wakuu naomba mnisaidie kujibu swali hili ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa kipindi kirefu sana.
Nimekuwa nikiona wasanii wakishindana kuongeza idadi ya viewers wa video zao youtube, nikawa najiuliza...
Habar wadau wa pande hizi za Entertainment
Nina jamaa yangu mmoja ana talent ya kuimba hasa kurap na amekwisha toa single moja siku chache zilizopita.
Sasa anahitaji msaada ili iweze kusikika...
Takribani nyimbo mpya kama ya Darasa, Mwana Fa na nyingine ya Stamina zimetambulishwa siku za hivi karibuni lakini hazijapata mapokezi mazuri kwa mashabiki kutokana na asilimia kubwa ya mashabiki...
Licha ya maneno mengi YA watanzania na mashabiki Uchwara wakimponda Mrembo wetu miss Tanzania 2016 Diana Edward kimsingi mimi #kijanamzalendo ni Miongoni mwa watu ambao ninamkubali na kumpenda...
Hivi hawa wanaojiita madirector waliotukuka wanaofuatwa bondeni kweli kabisa wamekosa ubunifu?? Angalia copy and paste hapa
Alianza Harmonize na Bado yake akacopy kila kitu kutoka Stupid Love wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.