Singeli ni kelele

Singeli ni kelele

UrbanGentleman

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
2,584
Reaction score
1,886
Guys kwema

Hivi kweli wataalamu na waandaaji wa muziki mziki wa Singeli uko kwenye kundi gani? As in Jazz,Rock,Pop,Hiphop,Reggae,Rhumba,tchatcha?

Maana ile speed ya BT na speed ya uimbaji dooh sio kwa kelele zile

Nimejaribu kujiuliza wanaopenda aina ile ya mziki wanafurahishwa na nini hasa sijapata majibu mpaka leo nimebaki Nikishangaa

Cha ajabu kuna wimbi la watu wanaopenda mziki huo, maana mziki Kwa asili hupunguza stress lakini huu mziki binafsi zile BT zake nkizisikia ni zaidi ya stress kwangu au ao waimbaji wake ukiwasikia wanavyopiga kelele

Cha ajabu najiuliza watu wanaelewaje zile kelele...?
 
Guys kwema

Hivi kweli wataalamu na waandaaji wa muziki mziki wa Singeli uko kwenye kundi gani? As in Jazz,Rock,Pop,Hiphop,Reggae,Rhumba,tchatcha?

Maana ile speed ya BT na speed ya uimbaji dooh sio kwa kelele zile

Nimejaribu kujiuliza wanaopenda aina ile ya mziki wanafurahishwa na nini hasa sijapata majibu mpaka leo nimebaki Nikishangaa

Cha ajabu kuna wimbi la watu wanaopenda mziki huo, maana mziki Kwa asili hupunguza stress lakini huu mziki binafsi zile BT zake nkizisikia ni zaidi ya stress kwangu au ao waimbaji wake ukiwasikia wanavyopiga kelele

Cha ajabu najiuliza watu wanaelewaje zile kelele...?
Kweli kabisa kaka sioni maana ya mziki singeli
 
Nadhan singeli... ni aina ya ngoma za wenyeji wa pwani. Ila kwa mtazamo wangu... si wote wanaopenda.. especially watu ambao si wa mikoa ya pwani. Lakin wenyeji wa pwani wanaipenda sana
 
Saula dada saula
Saula kaka saula
Kama una gheto mwanangu onesha funguo
Singeli noma sana
 
Guys kwema

Hivi kweli wataalamu na waandaaji wa muziki mziki wa Singeli uko kwenye kundi gani? As in Jazz,Rock,Pop,Hiphop,Reggae,Rhumba,tchatcha?
Kwa nini singeli ilibakie kuwa singeli na badala yake uanze kutaka kuifananisha na style ya miziki hiyo uliyoainisha?
 
*Kazi kazi ya profesa Jay ft Sholo mwamba. Hiphop singeli iko poa sana.
-Nyimbo ya singeli ninayoikubali ni "nafsi hainaga ushemeji tunakulaga"
-Mpaka watoto wadogo wanaipenda
-Miss world wagombea taji wawili na miss Tz dayana wamepost wanaicheza wanasema WE LOV U MANFONGO
 
Yaaaani hizo nyimbo sizipendi mpaka mwisho...

Juzi nimeshuka kwenye bajaji kabla ya kufika ninakoenda...

Kisa dereva bajaji analazilimisha kusikiliza singeli ..


Ila watu wa ushwazi wana -upenda !
 
Back
Top Bottom