Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu ni ngoma gani unayoifahamu ya hip hop kali concious words,kali yenye midondoko mikali itaje na tupia link hapa kama unayo karibu
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Najiuliza hakuna kundi la sanaa linaloweza kujioganize wakaandaa tamthilia za muda mrefu kwenye vituo vyetu pendwa vya runinga kama vile Makutano Junction, Isidingo na Scandal? Naona wasanii wetu...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
1.KIDOGO Hii ngoma ya bwana Platnumz ni baadhi ya ngoma zilizotoka mwaka huu na ikapoteza thaman au mtaani tunasema kufuria kwa mda mchache sana lkn wasanii waliosimama kwny hii ngoma ni heavy...
7 Reactions
74 Replies
10K Views
Tupige kura A:lover boy by barnaba classic B:moyo mashine by Ben Paul
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari,wakuu!, Binafsi mi ni mpenzi sana wa movie ila kwa upande wa Bongo movie,nilikuwa na wapenda sana marehemu (Steven kanumba na sajuki),kusema ukweli hawa wasanii enzi za uhai wao walikuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aise nimetokea kumkubali sana. Kila nyimbo atoayo naikubali tu. Atafika mbali. Check wimbo wake Mary Mary kwenye hii link
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Napenda kuwajulia hali wana jf... Nimefatilia categories za eatvarwads cjaona jina hata moja la member yyte wa wcb ukizingatia ki ukweli ndo kundi/label ambalo limefanya vurugu sana kwenye music...
0 Reactions
89 Replies
8K Views
Congratulations for winning 2 awards at the grammy
1 Reactions
2 Replies
632 Views
MY HEART - Cassper Nyovest & Diamond
14 Reactions
116 Replies
22K Views
Waungwana naombeni anae jua application nzur ya ku download move kupitia simu,mm naijua UCB browser ttz hii ime base kwenye TV series mm nataka move as move,please[emoji120]
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hwa wasanii wapya kabisa Tanzania na wanatoka katika kampuni mpya kabisaa ila wanakuja kwa kasi saana......Ebu sikiliza nyimbo yao hapa ya "BASI SAWA"
0 Reactions
0 Replies
822 Views
ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Katika mkutano na wandishi wa habari mkuu amenukuliwa akisema "angependa sana kama nayeye angepata mwaliko toka kwa ruge ili ashiriki fiesta Imoo kwani ndo itakua tarehe yake halisi ya kusherekea...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel mpya ya DSTV kwa ajili ya East Africa inayoitwa Trace Muziki Kwa ajili ya kupiga ngoma za wanamuziki wa kutoka afrika mashariki, lakini nimekuwa disappointed...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina mahaba sana na hawa jamaa wa hili kundi la West life toka nikiwa shuleni. Leo shauku ya moyo wangu nataka kulileta nchini kundi hili kwa gharama yoyote ile.Mwenye full details kuhusu gharama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Moja kwa moja kwnye Hoja. Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani...
14 Reactions
86 Replies
9K Views
Katika makala hii usipokuwa makini kidogo unaweza kudhani sipendi music videos nzuri au za gharama, lahasha,napenda video nzuri. Naandika makala hii ili tujadili kuhusu muziki wetu usonge mbele...
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Back
Top Bottom