Kiukweli nyimbo za hip hop za bongo zinazozungumzia mapenzi ndizo huwa na hisia za kweli ndani yake. Wabanapua huimbia kupata sifa tu
Sikiliza nyimbo zifuatazo utapata hisia za kweli;
1...
Wewe kama mdau wa Music unaionaje ngoma,,,,,,
Kuidownload ingia hapa AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I WANT TO MARY YOU,,,, AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I...
Kuna nyimbo moja ya singel nimetokea kuipenda ina itwa mikono juu mwendo wa mateka...lakin yule dogo anaye imba na maneno kwenye iyo nyimbo haviendan na umri wake...au nyimbo katungiwa?!!
Salam wakuu,
Habari za weekend? Najalia wakuu mko poa. Juzi nilikua naangalia tv ghafla wimbo wa gospel ukapigwa aisee huyu dada wakuitwa Angel Benard ni mwimbaji hatari kanakwamba mwanzoni i...
Mzuqa wanajamvi!
Ni mwanadada Ellie Gouling wa uingereza na singo Yake love me like you do inayomtukuza shetani waziwazi kabisa. Ni wimbo ambao ulitoka desemba 2015 na kukonga nyoyo za watu wengi...
Salamu kwenu wapenda maendeleo!
Nataka tushirikiane kimawazo wadau, Hivi huu wimbo umeleak ukiwa haujakamilika au ndiyo tayari umekamilika hapo? Kwa maoni yangu naona bado una dosari kubwa,na...
Wanajamvi kwa kuwa tunaendelea kupigwa sana kila kona...ebu tujiliwaze na hiki kijitrack hiki cha watawala...
Sio kabaya kanachezeka kweli kila kona ila nashangaa tu akaingii kwenye kumi bora za...
Nimefurahi sana na wewe ungana na furaha yangu coz hadi sasa hivi Kiba anaongoza kwenye katalogy zote 3 tena kwa kiasi kikubwa sana na wewe nenda kwenye link fanya ku vote kwa Kiba ili kura ziwe...
Tangazo la Boss linalochezwa na Marehemu Small ni chafu sana na linatia kinyaa. Upenda kuonyeshwa wakati watu tunakula chakula cha jioni.
Tunaomba mlibadilishe hasa vitendo vinavyotokea kwenye...
kwa yeyote mwenye nyimbo hizi tafadhali naomba azitupie hapa kwani nazihusu sana na nimeshindwa kuzipata ila najua ha jf mwisho wa matatizo,nyimbo zenyewe ni kama ifuatavyo:
1.Bizman-ishara ya...
Nakula singeli za kutosha hapa kutoka channel jipya la Tv E. Hawa nindugu wa Efm. Clouds tv jiandaeni watakuja kuwakimbiza kama wanavyowakimbiza katika Radio hadi mnasajili watu wao.
Najiuliza hakuna kundi la sanaa linaloweza kujioganize wakaandaa tamthilia za muda mrefu kwenye vituo vyetu pendwa vya runinga kama vile Makutano Junction, Isidingo na Scandal? Naona wasanii wetu...
1.KIDOGO
Hii ngoma ya bwana Platnumz ni baadhi ya ngoma zilizotoka mwaka huu na ikapoteza thaman au mtaani tunasema kufuria kwa mda mchache sana lkn wasanii waliosimama kwny hii ngoma ni heavy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.