Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu habarini, naomba kujuzwa website ya kupakua nyimbo bure worldwide hasa music
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa Tanzania chess ni mchezo mchanga sana na cjawah pita sehem nkaona watu wakicheza ,so probably kama upo utakua haujafanyiwa advertisement yakutosha like other games kama draft ambao kuna...
1 Reactions
2 Replies
979 Views
Naukubali sana mkoa wa Tanga, una historia nzuri katika burudani na unaaminika kuwa ndio asili ya burudani katika nchi hii, kuanzia kabumbu, muziki, sinema na kadhalika. Tanga ni jiji lililo...
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Am thanking my God as well all my relative and friends,especial my real friends from JF for ur company u made me more creative as am a Great Thinker Nw.My mama told me that I was born at 1july...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
NI ukweli usiopingika kuwa sekta ya sanaa nchini ipo chumba cha wagonjwa mahututi, na hatua za makusudi zinahitajika kuchukuliwa (na wasanii wenyewe) kunusuru hali hii. Nakumbuka miaka ya 1990...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu kijana wimbo wake wa kwanza anaitwa Bhuzo kid mnamuonaje wadau is there bright future for him? Nahitaji maoni yenu Bhuzo Kid Music - Free MP3 Download or Listen | Mdundo.com
0 Reactions
5 Replies
920 Views
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu...
5 Reactions
75 Replies
7K Views
Habarini wana jamvi, naomba muangalia clip hii hapa chini ya performance ya R.Kelly then mnisaide kuniambia Kama ni kweli au imeeditiwa,maana Kama ni kweli basi jamaa ana pumzi si mchezo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna huu wimbo wa kihaya, nadhani ulitoka miaka ya 2000 umeimbwa na mwanadada anayeitwa maua... Sikumbuki jina ila naweza hisi ni akatambala, kama kuna mtu anaufahamu naomba anisaidie niupate...
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Habari za leo wakuu, Kama mdau mkubwa wa industry yetu ya music bongo,Leo nimeandaa orodha ya nyimbo zangu ishirini bora za r&b(10) na hip hop (10) za leo hadi zamani.In short ni nyimbo ambazo...
2 Reactions
14 Replies
8K Views
Huyu mtu ni simply a genius anapoamua kutulia anatuletea vitu hatari....hii ngoma nimeirudia mara 20 toka jana naisikiliza tu, big up tid mnyamaa...warioba...hhahahh hatari sana.
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau wa entertainment habari zenu. Ipo siku nilifungua tv kwenye chaneli ya st swahili nikakutana na movie moja iliyoandaliwa na kampuni ya pilipili entainment inayoongozwa na watu wenye majina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika radio na tv programs kuna nyimbo mpya kila kukicha na pia kuna nyimbo zinazohit kila muda. Lakini kila mtu ana nyimbo anazozipenda katika kila wakati... Ningependa tushirikishane nyimbo...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Sio mwngne ni yule yule king Kong kutoka lafamilia karudi tena kwenye ubora ule ule wa DaresSalam stand up, kama ujaisikiliza isikilize afu sema chochote kuhusu chidbenz kwa wimbo huu.
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Jamani kuna nyimbo aliimba lady jay Dee ina mahathi ya kidini najaribu kuikumbuka nashindwa. Aliimba na mtu kama sio msouth afrika mganda. Msaada wakuu anaeukumbuka
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Hivi kwenye wimbo "chambua kama karanga" Saida Karoli anazungumzia mapenzi mubashara kati ya Halid na Philemon, na kuwataka wenye wivu wakitundike kitanzini. Hii kitu imekaaje!?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
kuna uhusiano gani kati ya hizo channel zinazocheza nyimbo zilizopo katika billboard chart ( music on chart) kupiga nyimbo kwa upendeleo mkubwa nyimbo za nigeria zaidi..?? kwa mfano kama una...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Wale wenzangu ambao hatunywi Pombe naomba mnisaidie kunitajia vinywaji ambavyo huwa mnakunywa mkiwa mmetoka (out) natamani Sana kutoka kwenda sehemu za starehe maarufu ila...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Kwa kweli kazi ya kuchekesha ngumu.. Kwenye stage ni Dogo Pepe kidogo anajitahidi kidogo watu wanacheka.
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Naangalia british comedy series ya miaka ya 90 inahusu jamaa anaefundisha wanafunzi mataifa tofauti kiingereza, episode mojawapo kuna mwanafunzi wa scottish anajitambulisha kwa style ya kuongea...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…