Napendekeza Diamond Platnumz ,apewe tuzo ya heshima.

Napendekeza Diamond Platnumz ,apewe tuzo ya heshima.

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,373
Samahani kwa nitakaowakosea!
Napendekeza Diamond apewe tuzo ya heshima ya kukieneza kiswahili kama sehemu ya utamaduni wetu, pili atambuliwe kama shujaa wa nchi katika kusaidia watu, amejitoa sana mifano ni mingi tu. Mwisho nashauri apewe diplomatic passport na nchi,na ulinzi imara na awe anawapa kozi mbalimbali wale jamaa wa basata, walioshindwa kusaidia sanaa ya nchi hii, ili waboreshe uelewa wao kuhusu namna ya kuifanya sanaa iweze kuzalisha ajira hata kwa wasio wasanii.
Ngoja niendelee kuskiliza huu wimbo wa eneka .
Povu ruksa!
 
na udsm impe u dr wa heshimaaa... kutoka fine and performing arts department..

ha ha ha dr dangote......

maana aliyoyafanya hata wakiungana ma prof wpte wa ile department na wanafunzi wao wote hawawezi tangu chuo kimeanzishwa miaka zaid ya 40 iliyopita...
 
na udsm impe u dr wa heshimaaa... kutoka fine and performing arts department..

ha ha ha dr dangote......

maana aliyoyafanya hata wakiungana ma prof wpte wa ile department na wanafunzi wao wote hawawezi tangu chuo kimeanzishwa miaka zaid ya 40 iliyopita...
anaimba kwa kiswahili bila hofu kabisa na anashinda tuzo MTV EMA , mjini Milan. Anashangaza sana na bado arudi bongo ashiriki shughuli za usafi akiwa na wananchi wenzake.
 
Samahani kwa nitakaowakosea!
Napendekeza Diamond apewe tuzo ya heshima ya kukieneza kiswahili kama sehemu ya utamaduni wetu, pili atambuliwe kama shujaa wa nchi katika kusaidia watu, amejitoa sana mifano ni mingi tu. Mwisho nashauri apewe diplomatic passport na nchi,na ulinzi imara na awe anawapa kozi mbalimbali wale jamaa wa basata, walioshindwa kusaidia sanaa ya nchi hii, ili waboreshe uelewa wao kuhusu namna ya kuifanya sanaa iweze kuzalisha ajira hata kwa wasio wasanii.
Ngoja niendelee kuskiliza huu wimbo wa eneka .
Povu ruksa!
Isije ikawe wewe ni kati ya wale wananguaji wake
 
Kitengo cha masoko WCB kazini
bora hao wenye kitengo, wengine wanakitengo cha lawama eti viewers wananunuliwa. Na ikiwa Diamond atanipa hicho kitengo naacha kazi serikalini.
 
Back
Top Bottom