Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

CEO wa WCB kaachia tena video ya ngoma ya Eneka kama alivyotoa ahadi ngoma baada ya ngoma, Ipo poa au kazingua?
9 Reactions
106 Replies
24K Views
Nadhani kwa wanaojua matukio ya kisiasa ya taifa letu wanajua ninachomaanisha yani utungaji huu wa sinema utahusisha moja kwa moja kati ya mapambano ya kuzuia rasilimali za nchi na mwingine...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kusema kweli, hakuna nyimbo inayo ji replay kwenye computer yangu kama huu wimbo. Ana ngomq nyingine inaitwa luck me. Hakika natangaza kwa moyo wa dhati kuwa shabiki wa GNako Sent from my VFD...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwavile Radio Free Africa na StarTV hazipo hewani (zinatangaza matangazo ya wengine) nawashauri BBC DIRA YA DUNIA TV hamishieni taarifa hio ya habari ITV au kwingine mtakakoona kunafaa Ni vema...
2 Reactions
3 Replies
990 Views
Kwenye goma jipya la unatafuta kiki la Niki Unju mbishi kajiita niki bashite anazungusha zero nimecheka sana. Ila Niki najua upo hapa jf,ndugu yangu una mistari na flow kali sana,yaani hii ngoma...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
SIKU ITAKAPOFIKA Hiyo siku ikifika, nafsi kuuacha mwili, Kalamu zitaandika,mara lile mara hili, Wengi watahuzunika,na kushindwa kuhimili, Siku itakapofika, mwili utapumzika. Sijui ni kwa...
0 Reactions
5 Replies
839 Views
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavojieleza. Msaada wa jinsi ya kusave picha INSTAGRAM ije kwenye gallaries... Nawasilisha Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mama mmoja aliamua kumtembelea mtoto wake wa kiume anayesoma chuo kikuu katika HOSTEL aliyopanga ili wale chakula cha jioni pamoja..[emoji492][emoji502] Alipofika hapo chumbani kwa mtoto wake...
10 Reactions
11 Replies
2K Views
Unakuta mwigizaji anaongea lugha mbili kwa wakati mmoja(mkabala) sasa sijui wanakuwa na lengo gani coz unakuta hyo movie ina subtittle.. Mfano: Mtu anasema 'Nooo' ... Then hapana 'Ilove you so...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kumekua na katabia kameshazoelewa, waimbaji wa nyimbo za injili kutumia maadhi ya bongo fleva kama wameshidwa kuimba nyimbo za injili bora waache.
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Bongo tutafika lini kiwango hiki cha uimbaji?
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mzuka wanaJF na habari za mchana! Huu wimbo unanikumbusha mbali sana yani mbali sana. Demu wangu mrembo aliupenda sana sasa hivi yuko mbinguni. Sijausikiza mda mrefu sana. Nimejikuta naufungua...
6 Reactions
31 Replies
9K Views
Dah Tunatarajia By Jumapili hivi Ma Pirates Watakua Tayari Wamesha iweka Spider man homecoming free tayari kwaajili ya kuidownload Movie hii itakua ipo Fresh Sana Akina Tom Holland as spider man...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Katika hii movie ukiitazama kwa umakini inakupa majibu sahihi Juu ya utaifa wako na hali ya uzalendo ulio nao katika moyo wako Ila usichokifaham katika movie hii ni kwamba ilichezwa nchini...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Anza wkend yako na track hizi:
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu naomba mwenye power season 4 au link nipate huu mzigo naskia umetoka mimi bado sijaupata
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF na JF kwa ujumla. Kuna wimbo mmoja siukumbuki jina kabisa aliimba Bizman kwenye ile Album yake ya Nipe Muda. Maudhui ya wimbo huu yanahusu maisha ya mwanaume na mwanamke kwenye ndoa...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Downlaod na usikie nyimbo yangu inaitwa BINADAMU WA LEO, Sina management kama umeipenda kazi yangu na una Nia ya kunisogeza hatua moja mbele tuwasiliane Pm, Nina kazi nyingi hii ni moja wapo tu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Dogo Domo una stress trust me, na nina wasiwasi unapuliza sasa hivi mboga. Ngoma tatu lakini hakuna jipya lenye kuleta muonekano mpya unafeli brother. Mapenz yana kusumbua, tafadhali...
9 Reactions
57 Replies
6K Views
Wakuu, nipo hapa Mzizima tokea mwezi wa nne na hapo nyuma niliisha tupia humu kuisifia band hii ya muziki. Naomba kufahamishwa ukumbi na siku wapigapo muziki ili nifike na kupata faraja.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom