Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau wa entertainment habari zenu. Ipo siku nilifungua tv kwenye chaneli ya st swahili nikakutana na movie moja iliyoandaliwa na kampuni ya pilipili entainment inayoongozwa na watu wenye majina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika radio na tv programs kuna nyimbo mpya kila kukicha na pia kuna nyimbo zinazohit kila muda. Lakini kila mtu ana nyimbo anazozipenda katika kila wakati... Ningependa tushirikishane nyimbo...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Sio mwngne ni yule yule king Kong kutoka lafamilia karudi tena kwenye ubora ule ule wa DaresSalam stand up, kama ujaisikiliza isikilize afu sema chochote kuhusu chidbenz kwa wimbo huu.
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Jamani kuna nyimbo aliimba lady jay Dee ina mahathi ya kidini najaribu kuikumbuka nashindwa. Aliimba na mtu kama sio msouth afrika mganda. Msaada wakuu anaeukumbuka
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Hivi kwenye wimbo "chambua kama karanga" Saida Karoli anazungumzia mapenzi mubashara kati ya Halid na Philemon, na kuwataka wenye wivu wakitundike kitanzini. Hii kitu imekaaje!?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
kuna uhusiano gani kati ya hizo channel zinazocheza nyimbo zilizopo katika billboard chart ( music on chart) kupiga nyimbo kwa upendeleo mkubwa nyimbo za nigeria zaidi..?? kwa mfano kama una...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Wale wenzangu ambao hatunywi Pombe naomba mnisaidie kunitajia vinywaji ambavyo huwa mnakunywa mkiwa mmetoka (out) natamani Sana kutoka kwenda sehemu za starehe maarufu ila...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Kwa kweli kazi ya kuchekesha ngumu.. Kwenye stage ni Dogo Pepe kidogo anajitahidi kidogo watu wanacheka.
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Naangalia british comedy series ya miaka ya 90 inahusu jamaa anaefundisha wanafunzi mataifa tofauti kiingereza, episode mojawapo kuna mwanafunzi wa scottish anajitambulisha kwa style ya kuongea...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
*Ujumbe kutoka kwa mdau, kaniomba niwafikishie* Nilisafiri kwenda nchi flani hivi majuzi na nikatumia Ethiopian Airline. Then nikiwa kwy ndege nilianza kubrowse zile Screen za kwenye viti kuona...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msikilize beat ya Wimbo wa Vee Money (Vanessa Mdee - Juu ) Na hii ya wimbo wa Creole - BONOBO (Unaofanya vizuri sana kwy Trace Urban) Maoni yangu: Vanessa kafanya vizuri sana hadi...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau niende moja kwa moja kwenye swali langu.. Kama umesikiliza Kipindi cha XXL wakati Msanii Diamond akitambulisha wimbo wake mpya wa Fire, aliulizwa swali kuhusu tofauti iliyojitokeza kati ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wakuu . Hivi umewahi kusikia nyimbo nzuri sanaa lakini kwa bahati mbaya nyimbo hiyo haibambi au haisikiki sana. . Binafsi Nimekutana na nyimbo hizi ambazo ni kali sana ila zilibuma 1...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyimbo zote na filamu zote zinaimba namna mapenzi yalivyo matamu na mazuri. Radio, TV na magazeti yote yanaandika, kutangaza na kuonyesha nyimbo na filamu hizi zinazosifia utamu na uhondo uliomo...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Nimefatilia michuano ya Fifa ya kombe la mabara lakin mara kadhaa hii technolojia mpya ya vidoe sio rafik sana kwa team yetu ya Cameroon hasa ktk maamzi tata.
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Msanii Mpya Kwenye Label ya Wasafi huu ni Wimbo wake wa kwanza na hii ni Video yake DOWNLOAD HAPA NEW SONG | LAVALAVA - TUACHANE ( OFFICIAL VIDEO ) | DOWNLOAD Mp4 VIDEO | MTIKISO ENTERTAINMENT
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Natafuta nyimbo za wachuja nafaka ili ni kundi lilikuwa na vichwa vi tatu juma nature,dollo na kr mulla. Hasa kunangoma mle kama dingi umechemsha na yaleo kali..natamani sana nizipate.
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Kwa wanaokumbuka kund la bongo fleva la HBC wana chemsha bongo kulikua na Big Willy,Niger J na Fanani aliyeimba 'fanani wa uhakika ktk fan anacfika' huya jamaa alikua ananikosha sana,naomba...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
kama kuna ambaye anakikumbuka kile kipndi kiitwacho club 10. kilichokua kinaendesha na perfect crispin kupitia clouds fm saa 4 mpka 6 mchna kila cku j mosi.sasa naomba jina la ile nyimbo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu? Nimejiuliza kuhusu series zinazotoka Korea hasa kusini,zimezagaa sana hapa nchini kwetu hadi watoto wadogo wanazijua. Lakini kwenye pita pia zangu sijakutana na Series za North...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom