Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
"Na sasa naondokaaa, nakwenda zangu, katika kijiji mwenzenu, cha ujamaaa. Nimechoka sasa jamani, na mambo ya mjini.
Nakwenda, ndugu zangu wamenieleza niende katika kijiji cha ujamaaa.
Nakwenda, nikajiunge na wenzangu nipate mahitaji yangu na taabu iniondokee."
Nakwenda, ndugu zangu wamenieleza niende katika kijiji cha ujamaaa.
Nakwenda, nikajiunge na wenzangu nipate mahitaji yangu na taabu iniondokee."