UTATA: MCHEZO WA BOXING

WAKU-GOOGLE

JF-Expert Member
Jan 20, 2015
950
623
Habari wana JF!

Naomba kuuliza jamani kuhusu huu mchezo wa boxing.

Hivi huwa wanaangalia vigezo gani hasa ili mtu kupata ushindi?

Nimeona mapambano kadhaa lakini huwa yananipa changamoto kuhusu mshindi.

Mara nyingi naona boxer flani atashinda kwa makonde aliyomtupia mpinzani wake na jinsi alivyommiliki mwenzake lakini mwisho wa pambano nakuta hali ni tofauti kabisaaa...

Kwa sababu ambaye nitaona amefanya vema kwa kumtwanga mpinzani wake hawi mshindi.

Sasa naomba tusaidiane wajuzi wa huu mchezo tupeni ujuzi na kuondoa utata katika huu mchezo ili tujue point huwa zinaangaliwa vipi na ma-judge ili kupata mshindi.

Karibuni
 
Kila raundi bondia anapewa pointi 10 ambazo unapaswa uzilinde.Sio kila ngumi ina ina uwezo wa kupunguza pointi za mpinzani wako.Navyoskia mara nyingi ngumi za uso ndo zina matter sana.
 
Kila raundi bondia anapewa pointi 10 ambazo unapaswa uzilinde.Sio kila ngumi ina ina uwezo wa kupunguza pointi za mpinzani wako.Navyoskia mara nyingi ngumi za uso ndo zina matter sana.
Kwa nini ngumi za uso/kichwa zinamatter sana
 
Kila raundi bondia anapewa pointi 10 ambazo unapaswa uzilinde.Sio kila ngumi ina ina uwezo wa kupunguza pointi za mpinzani wako.Navyoskia mara nyingi ngumi za uso ndo zina matter sana.
Nashukuru kwa kutujuza mkuu.

Naomba michango zaidi ukiachana na ngumi za kichwa kitu gani kingine kina matter kwenye huu mchezo?

Endeleeni kutujuza wana jamii

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom