Msanii anaitwa Ndela wimbo unaitwa Sijutii
Sasa kila nikiwasha redio nauskia unapigwa, ila kila nikiiutafta google haupo.
Ni wimbo mzuri sanaa huu, dogo katoka kwa hakika.
Mwenye nao autume...
Habari zenu mazee poleni na pilika za wiki nzima nachukua fursa hii kuwapongeza east africa tv/radio kwakutuletea burudani
Ni leo jumamosi show ni wakongwe kibao stejini nadhani ni siku nzuri...
Habari Ndugu zangu.
Naomba kusaidiwa jina la wimbo WA hawa jamaa wa kitambo kidogo kwenye game
Mmoja akifahamika kama Man dojo na mwingine Domo Kaya.
Baadhi ya mistari ni hii kwenye kiitikio...
Oii ...back in tiiiimee...mko poa ma-old school wenzangu nineamua kuanzisha thread hii mahususi kwa ajili ya vijana wa zamaani tuongelee kuhusu maisha ya zamani especially miziki ya nje "old...
Wonder Woman‘s shine cannot be dulled. The film, starring Gal Gadot and directed by Patty Jenkins, achieved another milestone in becoming the highest-grossing film within the DC Extended Universe...
Hizi movie za hawa gabachori ni kiboko, sijui wanajisikiaje wanavyotuigizia hivi maana eti mtu anarusha gari na mkono mmoja anaponda helkopta, yaan ni hivi kuna jamaa anapigana sasa inakuja...
Yani king'amuzi cha Azam wamefutilia mbali Tv 1 hata bila Taarifa.
Wakati walikuwa wanaonesha michuano ya mipira mbalimbali,ikiwa ni pamoja na confederation cup.
Kwanini Azam?
Kwa Tanzania chess ni mchezo mchanga sana na cjawah pita sehem nkaona watu wakicheza ,so probably kama upo utakua haujafanyiwa advertisement yakutosha like other games kama draft ambao kuna...
Naukubali sana mkoa wa Tanga, una historia nzuri katika burudani na unaaminika kuwa ndio asili ya burudani katika nchi hii, kuanzia kabumbu, muziki, sinema na kadhalika. Tanga ni jiji lililo...
Am thanking my God as well all my relative and friends,especial my real friends from JF for ur company u made me more creative as am a Great Thinker Nw.My mama told me that I was born at 1july...
NI ukweli usiopingika kuwa sekta ya sanaa nchini ipo chumba cha wagonjwa mahututi, na hatua za makusudi zinahitajika kuchukuliwa (na wasanii wenyewe) kunusuru hali hii.
Nakumbuka miaka ya 1990...
Huyu kijana wimbo wake wa kwanza anaitwa Bhuzo kid mnamuonaje wadau is there bright future for him?
Nahitaji maoni yenu
Bhuzo Kid Music - Free MP3 Download or Listen | Mdundo.com
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu...
Habarini wana jamvi, naomba muangalia clip hii hapa chini ya performance ya R.Kelly then mnisaide kuniambia Kama ni kweli au imeeditiwa,maana Kama ni kweli basi jamaa ana pumzi si mchezo.
Kuna huu wimbo wa kihaya, nadhani ulitoka miaka ya 2000 umeimbwa na mwanadada anayeitwa maua...
Sikumbuki jina ila naweza hisi ni akatambala, kama kuna mtu anaufahamu naomba anisaidie niupate...
Habari za leo wakuu,
Kama mdau mkubwa wa industry yetu ya music bongo,Leo nimeandaa orodha ya nyimbo zangu ishirini bora za r&b(10) na hip hop (10) za leo hadi zamani.In short ni nyimbo ambazo...
Huyu mtu ni simply a genius anapoamua kutulia anatuletea vitu hatari....hii ngoma nimeirudia mara 20 toka jana naisikiliza tu, big up tid mnyamaa...warioba...hhahahh hatari sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.