Long time no seepamoja na kuwa kwenye video Domo huwa hafunikwi na mtu.
tuwe wakweli, producer wa Diamond hii biti ka sample kwa Davido -fall, halaf alishindwa hata kuweka isi sound suspicious. kuna tatizo kubwa sana kwa huyu producer wa WCB, uwezo wake si mkubwa pia ana lack ubunifu, japo si producer mbaya.
Hahahahaa.... Bongooopamoja na kuwa kwenye video Domo huwa hafunikwi na mtu.
tuwe wakweli, producer wa Diamond hii biti ka sample kwa Davido -fall, halaf alishindwa hata kuweka isi sound suspicious. kuna tatizo kubwa sana kwa huyu producer wa WCB, uwezo wake si mkubwa pia ana lack ubunifu, japo si producer mbaya.
nipo brazaLong time no see
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
umeona eehHahahahaa.... Bongooo
Kwan wabongo mnaishiwaga maneno cheki wqkina wizkid bampa 2bampa nowHuku kuachia ngoma nyingi n dalili ya kutojiamini
Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
wizkid toka january anaachia ngoma kila mwezi na anazidi kuchanja mbuga ila diamond kufanya hivyo tayari imekuwa nongwaHuku kuachia ngoma nyingi n dalili ya kutojiamini
Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
Huu ni mfumo wakawaida tu, unatumika sana West Africa kama unavoona akina tecno,olomide,davido,wizkid wanavofnya diamond mashindano yake ni dhidi ya hawa watu kaona kma Tz tunapwaya kimataifa dhidi ya hawa Wa nigeria maana wanatoa nyimbo kila kukichaHuku kuachia ngoma nyingi n dalili ya kutojiamini
Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
Christian Ronaldo.......
Jifunze kuandika vizuri kwanza.Kwan wabongo mnaishiwaga maneno cheki wqkina wizkid bampa 2bampa now