Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,129
- 8,378
Unakuta mwigizaji anaongea lugha mbili kwa wakati mmoja(mkabala) sasa sijui wanakuwa na lengo gani coz unakuta hyo movie ina subtittle..
Mfano:
Mtu anasema
'Nooo' ... Then hapana
'Ilove you so much' .. Then nakupenda sana
'Idont want' .. Then hapo hapo anasema sitaki..
Nmeangalia tu coz nipo kwenye basi otherwise huwa siangaliii
Mfano:
Mtu anasema
'Nooo' ... Then hapana
'Ilove you so much' .. Then nakupenda sana
'Idont want' .. Then hapo hapo anasema sitaki..
Nmeangalia tu coz nipo kwenye basi otherwise huwa siangaliii