Mwenye Wimbo huu wa BIZMAN

Mwenye Wimbo huu wa BIZMAN

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,359
Habari wana JF na JF kwa ujumla.
Kuna wimbo mmoja siukumbuki jina kabisa aliimba Bizman kwenye ile Album yake ya Nipe Muda.
Maudhui ya wimbo huu yanahusu maisha ya mwanaume na mwanamke kwenye ndoa (mume na mke), kwamba inapotokea ugomvi mwanaume asijione ana msuli wa kuweza hata kumuua mwanamke lakini mwanamke ana ubavu kuliko mwanaume kwakuwa anaweza kumua hata kwa kumpa ua na kulinusa. Moja ya mashairi aliyoimba kwenye wimbo huo ni:
"Kwa mke sina ujanja,
Atanikosha viganja,
Kwa ungaunga wa wanja,
Huyu kwangu mimi kiranja."...............

Mwenye wimbo huu tafadhali naomba sana.
Asanteni sana.

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
 
Mwenye wimbo wa dully sykes Tamika tafadhali

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF na JF kwa ujumla.
Kuna wimbo mmoja siukumbuki jina kabisa aliimba Bizman kwenye ile Album yake ya Nipe Muda.
Maudhui ya wimbo huu yanahusu maisha ya mwanaume na mwanamke kwenye ndoa (mume na mke), kwamba inapotokea ugomvi mwanaume asijione ana msuli wa kuweza hata kumuua mwanamke lakini mwanamke ana ubavu kuliko mwanaume kwakuwa anaweza kumua hata kwa kumpa ua na kulinusa. Moja ya mashairi aliyoimba kwenye wimbo huo ni:
"Kwa mke sina ujanja,
Atanikosha viganja,
Kwa ungaunga wa wanja,
Huyu kwangu mimi kiranja."...............

Mwenye wimbo huu tafadhali naomba sana.
Asanteni sana.

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
yuko wapi BIZIMANA au karudi kwao BURUNDI
 
Mwenye wimbo wa dully sykes Tamika tafadhali

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Ninao mkuu pia ninazo zooote za zamani za dully ikiwemo opalina,hajisadi,julieta,hi,ladies free n.k
 
Ninao mkuu pia ninazo zooote za zamani za dully ikiwemo opalina,hajisadi,julieta,hi,ladies free n.k
Huna huo wa Bizman?

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
 
Ninao mkuu pia ninazo zooote za zamani za dully ikiwemo opalina,hajisadi,julieta,hi,ladies free n.k
Mkuu naomba unitumie kwa whatsapp 0715025299 tafadhal

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Mi naomba mwenye wimbo wa pain in me

anything you lose from being honest, you never really had to begin with.
 
Habari wana JF na JF kwa ujumla.
Kuna wimbo mmoja siukumbuki jina kabisa aliimba Bizman kwenye ile Album yake ya Nipe Muda.
Maudhui ya wimbo huu yanahusu maisha ya mwanaume na mwanamke kwenye ndoa (mume na mke), kwamba inapotokea ugomvi mwanaume asijione ana msuli wa kuweza hata kumuua mwanamke lakini mwanamke ana ubavu kuliko mwanaume kwakuwa anaweza kumua hata kwa kumpa ua na kulinusa. Moja ya mashairi aliyoimba kwenye wimbo huo ni:
"Kwa mke sina ujanja,
Atanikosha viganja,
Kwa ungaunga wa wanja,
Huyu kwangu mimi kiranja."...............

Mwenye wimbo huu tafadhali naomba sana.
Asanteni sana.

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app

NIPE MUDA - Bizman


Source: BongoFlavor
 
yuko wapi BIZIMANA au karudi kwao BURUNDI

Bizman Emmanuel yupo na bendi ya INAFRIKA Band na wanafanya ziara nyingi ndefu nje ya Tanzania kiasi wanakuwa adimu nyumbani Tanzania

Inafrica_band1.jpg

Kikosi kizima cha Inafrika Band toka Temeke jijini Dar es Salaam, Tanzania kina wanamuziki wafuatao Roy Figueiredo, Richard Mwaninsawa, Khamis Mlenge, Ras Pompidou, Nurdin Athumani, Steve Gambo and Bizimana Emmanuel.
 
Yu wapi bizman?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Yu wapi bizman?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app

Bandiko # 15 juu
Bizman Emmanuel na kundi zima la bendi yao ya Inafrika Band muda mwingi wana mialiko pamoja na ziara ndefu za nje ya Tanzania kiasi wanakuwa adimu nyumbani Tanzania
 
minautaka uo wa nipe muda.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa nimemcheki hadi account yake ya Insta lakini yupo kimya sana.

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom