Habarini wadau,
Hivi kuna mtangazaji gani unayemfahamu (wa zamani au wa sasa) aliye mkali katika habari ya vionjo mbalimbali vya music anayemzidi Masoud Masoud?
Kidogo anafuatiwa na Charles...
AYA: Wimbo wa Gaidi
MTUNZI: Hussein Tuwa
UTANGULIZI
Ni miaka mitatu tangu kuuawa kwa Osama bin Laden nchini Pakistan. Wanamgambo wa Al-Qaida wamesambaratika. Wengi miongoni mwao wameuawa...
Nafikiri sio mbaya kwa mchezaji wa Yanga SC kuacha soksi za jezi zao mbele ya ofisi za Simba SC. Eeewaaah si hata mechi zikiisha huwa wanapeana jezi.
Me nipo Tabata hapa kwa Kiba nakula Diamond...
Hawa jamaa wamenishangaza kwa kipaji chao cha kuweza kuimba kwa pamoja na kupiga vyombo bila kupishana. Walichokifanya humu ndicho wasanii wengi wa siku hizi hawana (HARMONY)
CC: Red Giant ...
Wakuu...
Kwa wadau wa series hebu tuambie unamkubali nani. Binafsi namkubali na kumpenda sana Jack Bauer wa 24 Hrs. Anajua kuvaa uharisia wa hali zote. Ni mzalendo na anajua namna ya kuwavuta...
Nyimbo iliyopigiwa promo ya kufa mtu ya mwanamziki Ally Kiba kumbe ilikuwa na utamu wa Big G!
Ndani ya wiki moja imechuja na sasa truck kutoka wasafi record inayoitwa Zilipendwa imepanda chati...
Kiukweli bongo fleva sasa ni biashara,vile utakavyoweza kuwateka mashabiki,..haina tofauti na yule mkorea gangnam style,sio kwamba ni good music ila mbwembwe nyingi..same happend to ali kibas...
Kwa wale wanaofaham... Naomba kuuliza Kama kuna fta Chanel zinaweza kuongezwa kwenye muelekeo wa Dstv... Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupongeza kwa kurejea. Ulituvuruga sana hapa mashabiki wako wa damu na zile ishu za mafuta...
Mambo ya ebitoke na affairs zako nyingine za mapenzi hayatuhusu.. Jana umeguguma sana XXL...
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu.
Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza...
Kinachoendelea kwa sasa katika kituo cha redio cha Clouds ni shamra shamra za uzinduzi wa Tamasha la Fiesta chini ya udhamini wa mtandao wa simu wa Tigo.
Kati ya watumbuizaji wa tamasha hilo ni...
Moja ya nyimbo nzuri kwa mwaka huu ni pamoja na ya huyu kijana. Kwangu mimi, huyu ni moja ya vile vipaji halisi katika tasnia ya burudani...
Ngoma yake mpya ya Libebe kamalizaa
Pitia youtube...
Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta,
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa...