Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Simbaaa hatari hii kitu cant wait kuiona video Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi humu ndani kuna watu wanao tazama jumong? Ni tamthilia nzuri mno ya kikorea, na inahusu siasa zaidi kuliko kingine. Natamani wana jf wote wawe wanatama jumong, ina fundisha vitu vingi sana...
2 Reactions
46 Replies
12K Views
AUDIO | BamTzee - Tokomeza Ajali Barabarani Download LINK>AUDIO | BamTzee - Tokomeza Ajali Barabarani | Download ~ DJ Mwanga
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nauliza kama una series na uko mwanza naomba aje pm ili tuone namna ya kubadilishana for free ntakufata popote ulipo ili mradi usiwe mke wa mtu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman munaonaje kiwango cha mavugool? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Arsenal fans: WENGER in out in out out in \_ in out out in out in
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Dah bonge moja la nyimbo, sometime hili beef la watu wawili (kiba na mondi) linatuharibia gemu watangazaji na radio nao wamekuwa mashabiki, mpaka nyimbo kama hizi zinakosa airtime
5 Reactions
34 Replies
10K Views
Naomba msaada kama kuna mtu yupo "ARUSHA MJINI" na ana complete POWER season 4" full HD format, naitafuta. Pia kama ana series zingine ambazo zipo on trend kwa sasa.
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Unakuta show ya fiesta wanapanda jukwaani wasanii 25,hivi wanalipwa sh ngap??? Show moja wasanii 30?????
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Diamond hongera sana. Kijana unajua safi sana. Hii nyimbo inakuwa ya Africa. See the attachment nyimbo chini hapo. Gonga like kusupport mziki mzuri.
22 Reactions
169 Replies
44K Views
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Je, ni kutaka kuonekana kwamba wanaujua mziki tangu 80's au wanadhani wateja ndo tunazopenda? Nyimbo mpya ni nyingi sana hata ukizipiga masaa 24 haziishi... Nipo hapa Maisha Club makumbusho...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Naitafuta hii nyimbo ya uyu jamaa mwenye nayo ani PM namna ya kuipata tafadhal Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
9 Replies
74K Views
Mwenye uelewa anielekeze jaman mm nataman kutambua advantage ya push up [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau, Katika tasnia ya muziki Africa ni vigumu kutoitaja Congo. Nimepata kuishi kambi za wakimbizi wa kikongo na huko nilishuhudia namna muziki ulivyo damuni. Kuna kanisa moja la asili wakati wa...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Kuna movie moja hivi inaitwa Apocalypto,.. Hii movie, ni moja Kati ya movie ambayo hainichoshi kuiangalia tena na tena... Huyu jamaa Star wa hii movie nimemkubali saaana, ananishawishi niendelee...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni nchi gani duniani ni wakali wa series duniani. 1.Korea 2.Uingereza 3.Marekani 4.India
0 Reactions
50 Replies
6K Views
habari zenu ndugu zangu samahani naomba kuuliza kwa wale wataalamu wa kupakia(upload) nyimbo mtandaon kua nime pakia nyimbo yangu ktk hizi free sites kama vile audiomack/bandcamp nk lakini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
. . Na SANGUJOSEPH . . Kuna KITU MASHABIKI Na wapenzi wa MUZIKI tunapaswa tukifahamu SANA katika muziki WETU SHABIKI Au Team za wasanii now days Zina nafasi kubwa ya kuifanya nYimbo ya kawaida...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom