Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Habari zenu wakuu ndugu zangu.Ni miaka inazidi kukatika sijasikia habari zozote za Mwinjuma muumini.Yuko wapi?Muziki vp?
AhaaYupo Twanga Pepeta Band.
Alienda kumalizwa Tanga la jini la kiarabu, akaanza kumkandia mkewake wa kwanza wa ndoa kisa umaarufu. ... Kule Tanga unarogwa huku unabembelezwaAlilewa umaarufu akajimaliza na kubakia kuwa misheni to town. Aliingilia kuoa na kuacha asijue ndiyo kitanzi chake kisanaa. Hao ndiyo wasanii wa Bongo. Leo yupo kesho yuko kwenye kaburi la sahau akiganga njaa. Yuko wapi Bishanga?