Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,464
Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta,
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa kuishi muleba miaka yote,
Wajuzi nisaidieni kujua faida ya jambo hili LA fiesta Kama nchi au jamii tunafaidika nalo nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa kuishi muleba miaka yote,
Wajuzi nisaidieni kujua faida ya jambo hili LA fiesta Kama nchi au jamii tunafaidika nalo nini?
Sent using Jamii Forums mobile app