Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jamaa ni mkali na anaijua kazi yake, ila huo wimbo ni kati ya chache ninazozikubali, Mungu amsaidie pamoja na skendo zake za uzinzi. Unaweza kutaja na wewe ni wimbo gani unaukubali toka kwake...
6 Reactions
96 Replies
17K Views
Wakuu nahitaji kupata link ya kuona bet awards shows from 2011
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Najua humu wengi ni wapenzi wa series au movie toka nje hasa marekani na wakorea, hivi umeshawahi kutokewa na kitu in normal lyf ukadhan ni real then baadae ukaja kukigundua kumbe kilitokea kwenye...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Msaada wa kujuwa web zinazotumika kudownload series wadauuu Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
8 Replies
1K Views
tembelea mtandao wa hopedrop kudownload nyimbo za injili toka Tanzania, africa na duniani kwa ujumla. just click here
1 Reactions
2 Replies
2K Views
1.Kipaimara 2.Harusi 3.Mc 0767586628 commred Chichimizi
0 Reactions
0 Replies
774 Views
pichani akiwa na mama anayejua kuigiza mama kawele unazani itakuwa movie ya aina gani cant wait itakuwa bonge la movie Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Huyu jamaa ni Under-ground lakini anatisha balaa. Hii ndiyo sauti yake halisi na anaimba Mubashara bila chenga. Huu ndiyo SOUL MUSIC ambayo wasanii wengi weusi wa Marekani hawawezi kuimba tena...
2 Reactions
2 Replies
925 Views
...wana JF mwenye huu mwimbo wa EMMANUEL NKULILA-PAIN IN ME au anayejua access zake aniwezeshe maana nnashida nao sana....pleaseee
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwigizaji na mchekeshaji maarufu Will Smith amepata dili la kuigiza maisha ya raisi mstaafu wa Marekani Hussein Barack Obama baada ya kupata ruhusa maalumu kutoka kwa raising huyo. thA God thA...
2 Reactions
4 Replies
930 Views
Ni nyimbo ipi uliipenda sana zamani hizo na ungependa uisikilize tena? Kuna ile ya UVC inaitwa usinicheke,dah nimeitafuta bila mafanikio Tutiririke wakuu OLD IS GOOD ALL THE TIME
0 Reactions
79 Replies
10K Views
siukumbuki jina lakini aliimba linex. anasema kuwa walikubalina na mpenzi wake kuwa aondoke aende akatafute pesa akipata atarudi kumwoa. lakini aliporudi akakuta mwanamke ameolewa au ana mtu...
4 Reactions
31 Replies
8K Views
kama ikitokea tuzo za Best Hiphop kwa kipindi hiki ni tack gani kati ya hizi mbili utaipa kura ya ndio. Roma #Zimbabwe Darasa #Muziki
2 Reactions
38 Replies
4K Views
kwa wale wapenzi wa Games baada ya G.T.A sanandreas and G.T.A IV sasa RocKStar wanakuletea G.T.A 5 kuwa tayari ni noumer!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NI KISANGA
0 Reactions
6 Replies
952 Views
Vita si jambo jema hata kidogo Raisi wa 16 wa Marekani AbrahamLincoln alisema “ hakuna jambo zuri katika vita isipokuwa mwisho wake”. Tunaishi katika ulimwengu ambao ni kama uwanja wa vita hakuna...
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Wakuu naamini mlikuwa na siku njema, leo nimeonelea ni vyema ku-share nanyi my all time favourite song na pia mtu mwingine yeyote anayejua wimbo mwingine wenye mahadhi haya ni vizuri kuweka hapa...
2 Reactions
5 Replies
747 Views
Mwanamuziki Rayvanny kutoka WCB ameachia video ya wimbo wake wa Chuma Ulete. Wimbo huo unaelezea kisa cha mapenzi ambapo mwanamke anamchuna mumewe na kutumia fedha zake kujiremba na kula na...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Covers nyingi za bongo wanazingua ila hawa jamaa wa Kimeru wamenifurahisha kweli kwenye Despacito. Wasikilize
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi ni mkenya na ni vigumu kupata nyimbo za kwaya hii hata kwenye bookshop za kanisa Katoliki hapa Kenya. Naomba vile nitapata nyimbo hizi nzuri za kwaya ya Mt. Cecilia Mwenge Dar-es-salaam 1...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom