Jamaa ni mkali na anaijua kazi yake, ila huo wimbo ni kati ya chache ninazozikubali, Mungu amsaidie pamoja na skendo zake za uzinzi.
Unaweza kutaja na wewe ni wimbo gani unaukubali toka kwake...
Najua humu wengi ni wapenzi wa series au movie toka nje hasa marekani na wakorea, hivi umeshawahi kutokewa na kitu in normal lyf ukadhan ni real then baadae ukaja kukigundua kumbe kilitokea kwenye...
pichani akiwa na mama anayejua kuigiza mama kawele unazani itakuwa movie ya aina gani cant wait itakuwa bonge la movie
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni Under-ground lakini anatisha balaa.
Hii ndiyo sauti yake halisi na anaimba Mubashara bila chenga.
Huu ndiyo SOUL MUSIC ambayo wasanii wengi weusi wa Marekani hawawezi kuimba tena...
Mwigizaji na mchekeshaji maarufu Will Smith amepata dili la kuigiza maisha ya raisi mstaafu wa Marekani Hussein Barack Obama baada ya kupata ruhusa maalumu kutoka kwa raising huyo.
thA God thA...
Ni nyimbo ipi uliipenda sana zamani hizo na ungependa uisikilize tena?
Kuna ile ya UVC inaitwa usinicheke,dah nimeitafuta bila mafanikio
Tutiririke wakuu
OLD IS GOOD ALL THE TIME
siukumbuki jina lakini aliimba linex. anasema kuwa walikubalina na mpenzi wake kuwa aondoke aende akatafute pesa akipata atarudi kumwoa. lakini aliporudi akakuta mwanamke ameolewa au ana mtu...
Vita si jambo jema hata kidogo Raisi wa 16 wa Marekani AbrahamLincoln alisema “ hakuna jambo zuri katika vita isipokuwa mwisho wake”. Tunaishi katika ulimwengu ambao ni kama uwanja wa vita hakuna...
Wakuu naamini mlikuwa na siku njema, leo nimeonelea ni vyema ku-share nanyi my all time favourite song na pia mtu mwingine yeyote anayejua wimbo mwingine wenye mahadhi haya ni vizuri kuweka hapa...
Mwanamuziki Rayvanny kutoka WCB ameachia video ya wimbo wake wa Chuma Ulete. Wimbo huo unaelezea kisa cha mapenzi ambapo mwanamke anamchuna mumewe na kutumia fedha zake kujiremba na kula na...
Mimi ni mkenya na ni vigumu kupata nyimbo za kwaya hii hata kwenye bookshop za kanisa Katoliki hapa Kenya.
Naomba vile nitapata nyimbo hizi nzuri za kwaya ya Mt. Cecilia Mwenge Dar-es-salaam
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.